nauza pikpik Suzuki cc60 na speed60 vespa ina vibali vyote ila ina no. za Zanzibar ni ndongo mtu mmoja inasumbua plug tu nipo mitaa ya kinondon mkwaajun bei ni 400,000\ tu.
sijui kuaplog picha ila kama unania 713 123 160 ndo namba yangu.
Ni kwa matumizi ya watoto mkuu? Speed 60 kutoka malamba mawili mpaka nifike posta na kibaruni ntachelewa na ntaonekana nalinga baada ya kununua usafiri kumbe ,hauna kasi walau cc 120 kama IPO mkuu tufanye biashara
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.