Pikipiki aina ya Boxer kupigwa marufuku

Pikipiki aina ya Boxer kupigwa marufuku

Mshobaa

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2013
Posts
1,717
Reaction score
685
Habarini wadau, kumekuwepo na habari mkanganyiko kwenye jamii yetu kuwa hizi pikipiki aina ya boxer zitapigwa marufuku kwa kile kinachoelezwa kuwa zinatumika kwenye baadhi ya matukio ya uhalifu tafadhali mwenye taarifa zaidi kuhusiana na hili suala atujuze
 
mimi huwa nashangaa sana Kama umeweza kuji-register JF as a member <<hiyo inatosha kuelewa kwamba ndugu yangu Mshomba una akili zako timilifu.Hivyo basi maswali ambayo unaweza kuyatatua mwenyewe si lazima ulete huku kujaza server zetu..Hili swali nikimpa mwanangu wa darasa la 3 anakutoa KO na tena sio TKO
 
Last edited by a moderator:
mimi huwa nashangaa sana Kama umeweza kuji-register JF as a member <<hiyo inatosha kuelewa kwamba ndugu yangu Mshomba una akili zako timilifu.Hivyo basi maswali ambayo unaweza kuyatatua mwenyewe si lazima ulete huku kujaza server zetu..Hili swali nikimpa mwanangu wa darasa la 3 anakutoa KO na tena sio TKO
Usilolijua. ....
Kwa taarifa yako Alhamis hii Traffic Polisi waliweka Doria barabarani kukamata na kukagua Boxer zote walizoziona.
Habari hizi zina ka-ukweli kiasi, usimbishie mtoa mada! !
 
Last edited by a moderator:
Sasa kwani hizo pikipiki
ndio zinafanya huo uhalifu, naona unatuletea story za Enzi hizo eti
range rover haziruhusiwi kupaki bank.

kwa akili za mtoa hoja anaweza akasema serikali ya tz ina mpango wa kupiga marufuku watu.(HAITAKI KUONA MTU YOYOTE NCHINI KISA MAANDAMANO YAMEZIDI)
 
Hivi we hujaijua tu hii njiiiiiii?? Pikipiki za mchina sasahivi haziuzi, si unajua ndo miradi ya wakubwa ileee!! Kama tanesco vile, wanazima umeme ili wapige dili za mawese mazito, Boxer kaingia sokoni mchina hauzi tena, so wanakaba koo kwa boxer ili waendelee kufaudu!! Stuka Mkuu
 
Usilolijua. ....
Kwa taarifa yako Alhamis hii Traffic Polisi waliweka Doria barabarani kukamata na kukagua Boxer zote walizoziona.
Habari hizi zina ka-ukweli kiasi, usimbishie mtoa mada! !

acha kufikiri kama hujui lolote,uliwezaje kuji-register jf?
traffic hakukamati eti kisa unaendesha boxer,anakukamata ikiwa pikipiki hiyo haijatimiza vigezo vya kukaa barabarani.
 
yaelekea watu sio wasomaji wa magazeti wala wafuatiliaji wa taarifa mbalimbali za jeshi la polisi
 
acha kufikiri kama hujui lolote,uliwezaje kuji-register jf?
traffic hakukamati eti kisa unaendesha boxer,anakukamata ikiwa pikipiki hiyo haijatimiza vigezo vya kukaa barabarani.

hivi mnafuatiliaga taarifa za jeshi la polis???
 
Habarini wadau, kumekuwepo na habari mkanganyiko kwenye jamii yetu kuwa hizi pikipiki aina ya boxer zitapigwa marufuku kwa kile kinachoelezwa kuwa zinatumika kwenye baadhi ya matukio ya uhalifu tafadhali mwenye taarifa zaidi kuhusiana na hili suala atujuze

Taarifa za uwanja wa fisi hizi
 
Usilolijua. ....
Kwa taarifa yako Alhamis hii Traffic Polisi waliweka Doria barabarani kukamata na kukagua Boxer zote walizoziona.
Habari hizi zina ka-ukweli kiasi, usimbishie mtoa mada! !
Mkuu bado sijaridhika,Nachofahamu walikuwa wanakagua vibali vya pikipiki zote na siyo Boxer.
EMBU SOMA ALICHOANDIKA MDAU
pikipiki aina ya boxer zitapigwa marufuku kwa kile kinachoelezwa kuwa zinatumika kwenye baadhi ya matukio ya uhalifu
Haijaniingia akilini bado
 
Habarini wadau, kumekuwepo na habari mkanganyiko kwenye jamii yetu kuwa hizi pikipiki aina ya boxer zitapigwa marufuku kwa kile kinachoelezwa kuwa zinatumika kwenye baadhi ya matukio ya uhalifu tafadhali mwenye taarifa zaidi kuhusiana na hili suala atujuze

Sijaelewa uhusiano wa Boxer na uhalifu! Au labda tu kwa kuwa pikipiki hizi hazina kelele kubwa, kwamba mtu anaweza kufanya uhalifu sehemu na kuondoka kimya kimya, I bet!
 
Hivi we hujaijua tu hii njiiiiiii?? Pikipiki za mchina sasahivi haziuzi, si unajua ndo miradi ya wakubwa ileee!! Kama tanesco vile, wanazima umeme ili wapige dili za mawese mazito, Boxer kaingia sokoni mchina hauzi tena, so wanakaba koo kwa boxer ili waendelee kufaudu!! Stuka Mkuu

da wewe ndo umeweza kujua kinachoendelea, naweza kukuita creative thinker!
 
Watu wabishi sana aisee,
Ok, ndugu yangu ni mmoja kati ya waliokamatwa hiyo alhamis zaidi ya mara tatu. Hicho ndicho alichoambiwa na hao Traffic.
Wanachodai ni kua Boxer zinakimbia sana kuliko pikipiki zozote zilizo katika kundi Lao (T-better, Sunlg, Skyline e.t.c., so zinatumiwa sana katika uhalifu! !
 
Watu wabishi sana aisee,
Ok, ndugu yangu ni mmoja kati ya waliokamatwa hiyo alhamis zaidi ya mara tatu. Hicho ndicho alichoambiwa na hao Traffic.
Wanachodai ni kua Boxer zinakimbia sana kuliko pikipiki zozote zilizo katika kundi Lao (T-better, Sunlg, Skyline e.t.c., so zinatumiwa sana katika uhalifu! !

I say! Kumbe nikiendesha Boxer kwa mwendo wa wastani, yenyewe inakimbia sana!
 
Mm nimeona pale tazara katika kituo cha bus zinapopack bodaboda police wanazikamata boxer na kuzipakia ktk defenda..baada ya kuona hii thread ndo nimeelewa kinachoendelea kwan nilidhani wanakamata wamepaki vibaya..
 
kwa akili za mtoa hoja anaweza akasema serikali ya tz ina mpango wa kupiga marufuku watu.(HAITAKI KUONA MTU YOYOTE NCHINI KISA MAANDAMANO YAMEZIDI)

Mkuu ni wazo la kipumbavu lakini kwa serikali hii ya CCM kwani mawazo ya kipumbavu ni adimu? Wanaweza kabisa kuamua hivyo!
 
Back
Top Bottom