Mshobaa
JF-Expert Member
- Apr 7, 2013
- 1,717
- 685
Habarini wadau, kumekuwepo na habari mkanganyiko kwenye jamii yetu kuwa hizi pikipiki aina ya boxer zitapigwa marufuku kwa kile kinachoelezwa kuwa zinatumika kwenye baadhi ya matukio ya uhalifu tafadhali mwenye taarifa zaidi kuhusiana na hili suala atujuze