Zombi Mweusi
JF-Expert Member
- Feb 9, 2017
- 1,076
- 2,161
Wakuu kuna chaka nipo kama mnavojua najihusisha na mambo ya uvuvi na sehemu niliopo kuna changamoto ya usafiri maana ni porin sasa nilikuwa nahitaji mtu ambaye tunaweza kuingia mkataba akanikopesha pikipiki 2 aina ya haojue mninga cc 125.
Kama kuna yeyote atakuwa tayari pm ipo wazo kwa makubaliano
*************************************""*
Ishu imeshakuwa solved asanten kwa ushirikiano wote mlionifata pm


Kama kuna yeyote atakuwa tayari pm ipo wazo kwa makubaliano
*************************************""*
Ishu imeshakuwa solved asanten kwa ushirikiano wote mlionifata pm


