Ni kwelii kabisaWapige mswaki
Dini Fulani , imekemea juu ya kitunguu swaumu , yaani ukila chakula au vitu vilivyonakshiwa na kitunguu swaumu, hakikisha unapiga mswaki vizuri kabla haujaenda kwenye ibada, kama ukienda ivyo ivyo unakuwa kero na itapelekea kuwafanya wengine wasiwe watulivu kwenye ibada juu ya harufu hizo kali
Jauu sana mzee wanguWengine wanabugia visungura asubuhi halafu wanatafuna vitunguu kukata harufu
Nan kasemaColgate inaleta homa ya Ini na kuuwa figo
Hii sio utani ni kweliUbaya wa vitunguu swaumu hata ukimeza punje tatu kila siku lazima jasho lako lianze kutoa harufu ya vitunguu
πππππNa hili likawe agizo kwa utekelezaji.
Ujue una ujinga sana ww chotara ππWanakumalizia vitunguu vyako vya pilau na miswaki ipo
Sio desturi yao desturi yao kuombaKuna mikoa kama Dodoma wenyeji wa kule wengi wakiamka hawapigi miswaki...nilishangaa sana aisee
Si ni kweli ewe mpishi wa jikoniUjue una ujinga sana ww chotara ππ
Dah ww ni wakupigwa tena upigwe bila huruma ππSi ni kweli ewe mpishi wa jikoni
Na vyombo vya jikoniDah ww ni wakupigwa tena upigwe bila huruma ππ
Apo la maana ni hilo zuliaView attachment 3627479
Njoo umalizie kipolo bas
NikuacheiApo la maana ni hilo zulia
Ukikutana na ke ana harufu mbaya mdomoni utafanyeje lo???