Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,883
- 67,312
kumbe wanaonuka vitunguu hawapigi mswaki aaaaah!Mtu una acha kupiga mswaki una kazi ya kutafuna vitunguu saumu asubuhii na karafuu mdomo una anza kunuka kitunguu saumu aseee pigeni mswaki wengine hiyo harufu ya kitunguu ina kela sana hasa ikitoka mdomoni mwa binadamu
Angalau akipiga mswaki... Mixer la vitunguu na karafuu harufu lake balaa!kumbe wanaonuka vitunguu hawapigi mswaki aaaaah!
Za nini sasa... Buster?Saivi imekuwa trend vijana wanaamka na karafuu π‘π‘ basi tafuna hata punje mbili kisha sukutua wao kutwa nzima
Nilijua Ina nikera Mimi tu ,Mtu una acha kupiga mswaki una kazi ya kutafuna vitunguu saumu asubuhii na karafuu mdomo una anza kunuka kitunguu saumu aseee pigeni mswaki wengine hiyo harufu ya kitunguu ina kela sana hasa ikitoka mdomoni mwa binadamu
Hakuna cha busta wala nini miyeyusho tuu wanadai wanaua bacteria wa mdomoni wengine wanadai ni tiba ya mwiliZa nini sasa... Buster?
Maponjoro ndiyo balaa kwa kunuka jasho la vitunguu swaumu!!Ubaya wa vitunguu swaumu hata ukimeza punje tatu kila siku lazima jasho lako lianze kutoa harufu ya vitunguu
π π , sukutua hata na konyagi harufu na vimelea vyote vinakata na kufaMimi nimeishajikatia tamaa siwezi hata kutoka kitandani sembuse kupiga mswaki?
Ukimuliza anakwambia pilau la saba saba ni tamu balaaaa waona mihalufu ya kitunguu swaumu sheik wangu!Angalau akipiga mswaki... Mixer la vitunguu na karafuu harufu lake balaa!
Vipi mabaki ya chakula katikati ya meno..? Au konyagi itapenya hadi hukoπ π , sukutua hata na konyagi harufu na vimelea vyote vinakata na kufa