Naambiwa niliharibu sana. Nilipewa nakala ya video ya harus aisee nlivunja CD ile. Pombe mbaya.Ungekataa mkuu bora aibu kuliko fezeha
Pande hizi ni ngorii bei ya mahindi imepandaWozah wozah niaje pande hizo
Mwanza mijiwe tu hamna kitu..Poa mkuu najua mwanza hupajui ndo maana unaongea hivyo
Wewe wasema.Huyo ni demu wa dj sepetu
hallooMbona hupig cm mama sabrina