Piga Kura

Faana

JF-Expert Member
Dec 12, 2011
31,920
33,353
IMG-20240309-WA0004.jpg
 
Huyo wa kati unaweza kumuita pembeni ukampa maokoto kidogo tu kisha akawageuka wenzake na kukubali jambo liwe,

Huyo wa kushoto wanakuaga walokole lia lia hao,kifupi hadanganyiki huyo,

Huyo wa kulia anajali sana mambo ya mila na desturi,anaweza kugoma kwa kitu kidogo tu,hua wanajifanya wapo straight kwa kila kitu.
 
Huyo wa kati unaweza kumuita pembeni ukampa maokoto kidogo tu kisha akawageuka wenzake na kukubali jambo liwe,

Huyo wa kushoto wanakuaga walokole lia lia hao,kifupi hadanganyiki huyo,

Huyo wa kulia anajali sana mambo ya mila na desturi,anaweza kugoma kwa kitu kidogo tu,hua wanajifanya wapo straight kwa kila kitu.
🤣
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom