HahahaHuyo wa kati mikogo yote hiyo😁
Huyo jamaa wa kushito kavaa Boot wabakuwaga watata sana. Kwanza wanajifanyaga wamesoma soma.
Umenikumbusha kiswahili cha MikogoHuyo wa kati mikogo yote hiyo😁
Wakatikati
Ukiachana na ufupi, jinsi alivyo tu amekaa kishari shariKati
Ufupi na ukorofi ni friends
wa katikati sio powa aisee
🤣Huyo wa kati unaweza kumuita pembeni ukampa maokoto kidogo tu kisha akawageuka wenzake na kukubali jambo liwe,
Huyo wa kushoto wanakuaga walokole lia lia hao,kifupi hadanganyiki huyo,
Huyo wa kulia anajali sana mambo ya mila na desturi,anaweza kugoma kwa kitu kidogo tu,hua wanajifanya wapo straight kwa kila kitu.