Rozanna Agro Africa
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 809
- 796
Mimi kwa kuanzia namtaja Sankara
Kwa akili zake jiwe hapa anaweza kumtambua Bob tu kwa sababu na yeye anakula kitu
JPM pale.
MalcolmBob pale,Muhammad Ali pale,Nkurumah pale
nadhani watakuwa wamechora kule aliyekaa wa mwisho si Marcus Garvey.Kuna Maswali najiuliza Kwenye hiyo Picha,
1.Bob Marley alizaliwa 1945,
Hiyo picha Anaonekana ni Zaidi ya Miaka 30,Not below 30,
2.Mwaka 1967 Nelson Mandela Alifungwa Gerezani hadi Mwaka 1990.
3.Kwame Nkrumah Alifariki Miaka ya 1970s.
4.Muhammad Gaddafi Aliingia Madarakani Mwaka 1969 Tayari Mandela yupo Gerezani,
Ni fake hiyoKuna Maswali najiuliza Kwenye hiyo Picha,
1.Bob Marley alizaliwa 1945,
Hiyo picha Anaonekana ni Zaidi ya Miaka 30,Not below 30,
2.Mwaka 1967 Nelson Mandela Alifungwa Gerezani hadi Mwaka 1990.
3.Kwame Nkrumah Alifariki Miaka ya 1970s.
4.Muhammad Gaddafi Aliingia Madarakani Mwaka 1969 Tayari Mandela yupo Gerezani,
Kweli nami hua naona au kufikiria hivyo, mfano mkwawa, kinjeketile ngwale na wengine wengi yaani sijui kilikuwa ni kizaz cha dizain gani halafu angalia na kizaz cha sasaInawezekana kuna kizazi kilipita kilikuwa na akili na upendo mkubwa wa kumkomboa mwafrika mweusi kutoka minyororo ya ujinga na umaskini.
ni 'fotoshop' ila imependezaKuna Maswali najiuliza Kwenye hiyo Picha,
1.Bob Marley alizaliwa 1945,
Hiyo picha Anaonekana ni Zaidi ya Miaka 30,Not below 30,
2.Mwaka 1967 Nelson Mandela Alifungwa Gerezani hadi Mwaka 1990.
3.Kwame Nkrumah Alifariki Miaka ya 1970s.
4.Muhammad Gaddafi Aliingia Madarakani Mwaka 1969 Tayari Mandela yupo Gerezani,