Picture of the century

Picture of the century

Rozanna Agro Africa

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
809
Reaction score
796
Mimi kwa kuanzia namtaja Sankara
IMG_20180802_173851_577.jpg
 
Kuna Maswali najiuliza Kwenye hiyo Picha,
1.Bob Marley alizaliwa 1945,
Hiyo picha Anaonekana ni Zaidi ya Miaka 30,Not below 30,
2.Mwaka 1967 Nelson Mandela Alifungwa Gerezani hadi Mwaka 1990.
3.Kwame Nkrumah Alifariki Miaka ya 1970s.
4.Muhammad Gaddafi Aliingia Madarakani Mwaka 1969 Tayari Mandela yupo Gerezani,
 
Kuna Maswali najiuliza Kwenye hiyo Picha,
1.Bob Marley alizaliwa 1945,
Hiyo picha Anaonekana ni Zaidi ya Miaka 30,Not below 30,
2.Mwaka 1967 Nelson Mandela Alifungwa Gerezani hadi Mwaka 1990.
3.Kwame Nkrumah Alifariki Miaka ya 1970s.
4.Muhammad Gaddafi Aliingia Madarakani Mwaka 1969 Tayari Mandela yupo Gerezani,
nadhani watakuwa wamechora kule aliyekaa wa mwisho si Marcus Garvey.

amefariki 1940 sasa kapigaje picha na Gadafi au Mandela??

au na Thomas Sankara?
 
Kuna Maswali najiuliza Kwenye hiyo Picha,
1.Bob Marley alizaliwa 1945,
Hiyo picha Anaonekana ni Zaidi ya Miaka 30,Not below 30,
2.Mwaka 1967 Nelson Mandela Alifungwa Gerezani hadi Mwaka 1990.
3.Kwame Nkrumah Alifariki Miaka ya 1970s.
4.Muhammad Gaddafi Aliingia Madarakani Mwaka 1969 Tayari Mandela yupo Gerezani,
Ni fake hiyo
 
Mandela, Sankara, Marcus, Ali, Ghadafi, marley, Nkurumah, Lumumba, Malcom...

hao wengine siwajui
 
Last edited:
Inawezekana kuna kizazi kilipita kilikuwa na akili na upendo mkubwa wa kumkomboa mwafrika mweusi kutoka minyororo ya ujinga na umaskini.
Kweli nami hua naona au kufikiria hivyo, mfano mkwawa, kinjeketile ngwale na wengine wengi yaani sijui kilikuwa ni kizaz cha dizain gani halafu angalia na kizaz cha sasa
 
Kuna Maswali najiuliza Kwenye hiyo Picha,
1.Bob Marley alizaliwa 1945,
Hiyo picha Anaonekana ni Zaidi ya Miaka 30,Not below 30,
2.Mwaka 1967 Nelson Mandela Alifungwa Gerezani hadi Mwaka 1990.
3.Kwame Nkrumah Alifariki Miaka ya 1970s.
4.Muhammad Gaddafi Aliingia Madarakani Mwaka 1969 Tayari Mandela yupo Gerezani,
ni 'fotoshop' ila imependeza
 
Back
Top Bottom