M Mr Rocky JF-Expert Member Oct 10, 2007 15,178 14,351 Nov 22, 2012 #41 Mkuu Tbag Hatari kwa nini umemuwazia hivyo huyo jamaa aise inawezekana ndio alivyo mkuu hana dharau aise Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Mkuu Tbag Hatari kwa nini umemuwazia hivyo huyo jamaa aise inawezekana ndio alivyo mkuu hana dharau aise
I Ikunda JF-Expert Member Jul 12, 2010 718 151 Nov 22, 2012 #42 Kivumah said: Click to expand... Aiciii i like the body. safiii sana
B BabaKasheshe JF-Expert Member Nov 7, 2012 211 45 Nov 22, 2012 #43 huyo ni mtu au ni vinyago vyoteee/?? Kivumah said: Click to expand...
mwaJ JF-Expert Member Sep 27, 2007 4,074 2,947 Nov 22, 2012 #45 Kivumah said: Click to expand... Moyo wangu umetulia hapa! Duh! Napenda sana picha za wanyama hasa pundamilia.
Kivumah said: Click to expand... Moyo wangu umetulia hapa! Duh! Napenda sana picha za wanyama hasa pundamilia.
suleym JF-Expert Member Sep 21, 2010 1,960 1,205 Nov 22, 2012 #46 Obama anaburudisha aisee!!!!!!!!!! Jicho!!
mathcom JF-Expert Member Oct 13, 2012 1,396 518 Nov 22, 2012 #47 Kivumah said: Click to expand... Huyu jamaa yupo paleee fundikira mitaa ya mwenge Dar. Dah! hata muda wa kupiga slesha hana !!!!!
Kivumah said: Click to expand... Huyu jamaa yupo paleee fundikira mitaa ya mwenge Dar. Dah! hata muda wa kupiga slesha hana !!!!!
mathcom JF-Expert Member Oct 13, 2012 1,396 518 Nov 22, 2012 #48 mwaJ said: Moyo wangu umetulia hapa! Duh! Napenda sana picha za wanyama hasa pundamilia. Click to expand... It is beautiful! kama ningekua na mshiko ningekupa one-day ofa kule kwenye kibanda cha baba ukaangalia kwa raha zako mtoto wa kike !!
mwaJ said: Moyo wangu umetulia hapa! Duh! Napenda sana picha za wanyama hasa pundamilia. Click to expand... It is beautiful! kama ningekua na mshiko ningekupa one-day ofa kule kwenye kibanda cha baba ukaangalia kwa raha zako mtoto wa kike !!
W Whisper JF-Expert Member Jun 2, 2009 502 207 Nov 22, 2012 #49 Kivumah said: Click to expand... Dah! Bro kachoka ile mbaya! hata kiwembe cha kukwangulia kwapa kakosa. Zinaweza kuwa rasta hizo..
Kivumah said: Click to expand... Dah! Bro kachoka ile mbaya! hata kiwembe cha kukwangulia kwapa kakosa. Zinaweza kuwa rasta hizo..
Jayonepey JF-Expert Member Jul 6, 2011 320 151 Nov 22, 2012 #51 picha zote naona zimetolewa humu Gillsaint's Photo Blog
Amavubi JF-Expert Member Dec 9, 2010 30,146 13,216 Nov 23, 2012 #52 Edo said: Ahsante mkuu kwa picha , du Obama hiyo siagara haiishi tu? Click to expand... afu sielewi kama anasinzia au anarembua
Edo said: Ahsante mkuu kwa picha , du Obama hiyo siagara haiishi tu? Click to expand... afu sielewi kama anasinzia au anarembua
King’asti Platinum Member Nov 26, 2009 27,823 24,786 Nov 23, 2012 #53 Mie nimeona logo ya gari. Nna matatizo nahisi NATA said: Kaka mtanashati! Click to expand...
isambe JF-Expert Member Feb 14, 2008 2,195 1,401 Nov 23, 2012 #54 Hii nimeipenda,Kamera gani umetumia?
Joeli JF-Expert Member Apr 25, 2011 4,941 3,402 Nov 23, 2012 #55 more pichaz kutoka kwenye blog ya Mshikaji wangu Gillsant Gillsaint's Photo Blog