Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,744
- 25,447
Kama wewe ni mpenzi wa kutalii sehemu mbalimbali millardayo.com inakupa fursa ya kuzitazama sehemu 10 ambazo kama unapata time sio vibaya kuzitembelea ni nzuri na zinavutia duniani, bara la Afrika ziko mbili tu, yaani ni moja sema, ipo mpakani mwa Zambia na Zimbabwe. Cheki pichaz hapa
1. Bagan, Myanmar
2. Li River, China
3. Zhangye Danxia Landform Gansu, China
4. Meteora, Ugiriki
5. Salar de Uyuni
6. Kisiwa cha Santorini, Ugiriki
7. Venice, Italia
8. Victoria Falls, Zambia/Zimbabwe
9. Geiranger Fjord, Norway
10. Halong Bay, Vietnam