Ndibalema
JF-Expert Member
- Apr 26, 2008
- 10,956
- 4,648
Hawamuwezi Ninrod Nkono.Watashughulikiwa hawa hadi watajuta!
Hawamuwezi Ninrod Nkono.Watashughulikiwa hawa hadi watajuta!
Watashughulikiwa hawa hadi watajuta!
Hao ndo wameaga ubunge rasmi.
Hana lolote esta bulaya waliosaini hiyo petition ni mh filikunjombe, mh kanginlugola na mh mkono yaani hao wa mstari wa juu na hao wa chini hawakusaini kabisaHuyu mwanamke anastahili Tuzo ya ujasiri!!!
Wanaomeremeta ni deo filikunjombe, kangi lugola na mh mzee wetu mkono hao wengine ni wanafikintu hilo gazeti limewabeba tena walifuatwa sana na mh zitoo lakini walikataa kwa kuhofia chama chao cha magambaWanameremetaaaa
Watashughulikiwa hawa hadi watajuta!
Wameamua kwa utashi wao kuweka itikati kando na kutetea kilichowapeleka bungeni ambao ni wananchi waliowachagua. Wabunge ambao wanatetea matumbo yao na kujikomba kwa viongozi waandamizi serikali ndio wasaliti kwa wananchi waliowachagua.
Wanameremetaaaaa?
HAWA NDIYO MASHUJAA WASIO NA UNAFIKI, UNAJUA KUNA WAKATI VITU VINAPIMWA KWA WINGI ILA KUNA VITU VINAPIMWA KWA UZITO WAKE. Kama tungeweka kwenye mizani ya kupima uzito wa watu wenye akili hawa ndiyo wenye akili na ndiyo wanaotakiwa. Wameutangazia Umma wa watanzania kuwa hawataki dhuruma, hawataki kupindisha haki na maslahi ya waliowengi. Mimi ni mwana-CCM na ninaowadhifa ambao nikiamua magazeti lazima yaandike ila Kusema ule ukweli wabunge ambao hamjasaini mmetusaliti sisi tuliowachagua na hili siyo usaliti kwa waliowachagua tu bali ni usaliti kwa chama maana sasa mmekiweka rehani. Hoja hii inatosha kuwapukutisha wengi mwaka 2015 kama siyo kuwamaliza kabisa.
Picha hisani ya Mjengwa blog