Pichani: NAPE ATINGA MOSHI

Pichani: NAPE ATINGA MOSHI

nngu007

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2010
Posts
15,860
Reaction score
5,803
Friday, April 5, 20DADI YA WATU WALIOSOMA HABARI HII:


Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akilakiwa na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Kilimanjaro, Iddi Mohammed baada ya kuwasilili jioni hii kwenye Ofisi ya CCM mkoa huo mjini Moshi. Kesho Nape anatarajiwa


kufungua semina ya H Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akilakiwa na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Kilimanjaro, Iddi Mohammed baada ya kuwasilili jioni hii kwenye Ofisi ya CCM mkoa huo mjini Moshi. Kesho Nape anatarajiwa kufungua semina ya Halmashauri Kuu ya Mkoa huo ya CCM na baadaye kuhutubia mkutano mkubwa wa hadhara mjini Moshi.
o ya CCM na baadaye kuhutubia mkutano mkubwa wa hadhara mjini Moshi.

Katibu wa CCM mkoa wa Kilimanjaro Steven Kazidi (wapili kushoto) akimtambulisha Mwenyekiti wa UVCCM mkoa huo, Frederick Mushi kwa Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye kwenye Ofisi ya CCM mkoa wa Kilimanjaro mjini Moshi. Kulia ni Mwenyekiti wa CCM Moshi Mjini Elizabeth Minde.
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akivishwa skafu na Kijana wa CCM baada ya kuwasili Ofisi ya CCM mkoa wa Kilimanajro mjini Moshi jioni hii.
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akishiriki kucharaza ngoma, iliyokuwa inapigwa na kundi la sanaa la CCM, baada ya kuwasili kwenye Ofisi ya CCM mkoa wa Kilimanjaro jini Moshi jioni hii.
Katika ziara hiyo Nape ameambatana na Vijana waliojiengua hivi karibu kutoka Chadema, Mtela Mwampanga na aliyekuwa Naibu Mwenyekiti wa Baraza la Vijana Chadema, Juliana Shonza. Pichani, Mwampamba na Shonza Katika ziara hiyo Nape ameambatana na Vijana waliojiengua hivi karibu kutoka Chadema, Mtela Mwampanga na aliyekuwa Naibu Mwenyekiti wa Baraza la Vijana Chadema, Juliana Shonza. Pichani, Mwampamba na Shonza wakisalimiana na vijana wenzao ambao pia wamehamia CCm hivi karibuni kutoka Chadema mkoani Kilimanjaro, David Waryoba (kushoto) na Yona Makwaya (wapili kushoto)zao ambao pia wamehamia CCm hivi karibuni kutoka Chadema mkoani Kilimanjaro, David Waryoba (kushoto) na Yona Makwaya (wapili kushoto)

Vijana wakimsubiri Nape kwa shauku alipowasili Ofisi ya CCM mkoa wa Kilimanjaro mjini Moshi jioni hii.

  1. Nape akitia saini kwenye kitabu cha wageni, katika Ofisi ya CCM mkoa wa Kilimanjaro mjini Moshi jioni hii. Kushoto ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Kilimanjaro Iddi Mohammed. (Picha zote na Nape akitia saini kwenye kitabu cha wageni, katika Ofisi ya CCM mkoa wa Kilimanjaro mjini Moshi jioni hii. Kushoto ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Kilimanjaro Iddi Mohammed. ashir Nkoromo wa


POSTED BY: BASHIR NKOROMO AT FRIDAY, APRIL 05, 2013


733930_351981558239257_1473252378_n.jpg




Ndani ya moshi mjini ziarani kichama Juliana shonza kada,Mwenyekiti uvccm mkoa wa kilimanjaro fredy Mushi na aliekuwa kamanda wa chadema (katibu wa chaso Ardhi) kada Yona Makwaia


attachment.php


Mkutanoni Magari Mengi zaidi ya Wasikilizaji?


ZIARA YA NAPE MOSHI MKOANI KILIMANJARO

by JOHN BUKUKU on APRIL 7, 2013 in
SIASA



Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, akipokea kadi ya aliyekuwa mwanachama wa Chadema, kutoka Chuo Kikuu cha Ardhi, Juma Kalendo, baada ya kutangaza kuhamia CCM, wakati wa mkutano mkubwa wa hadhara uliofanyika Aprili 6, 2013, kwenye Viwanja vya Reli, Kata ya Njoro, Moshi mkoani Kilimanajro. Katika mkutano huo zaidi ya vijana 65 walitangaza kuhamia CCM kutoka Chadema na Nape ametangaza kuwakabidhi kadi za CCM katika hafla maalum itakayoandaliwa baadaye. Kushoto ni Katibu wa CCM mkoa wa Kilimanajro Steven Kazidi. (Picha na Bashir Nkoromo).


Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akisisitiza jambo wakati akihutubia mkutano wa hadhara uliofanyika Aprili 6, 2013 kwenye Viwanja vya Reli, Njoro mkoani Kilimanajro. (Picha na Bashir Nkoromo).


Baadhi ya vijana waliojiunga na CCM, baada ya kuihama Chadema katika mkutano wa hadhara uliofanyika Njiro mkoani Kilimanajro Aprili 6, 2013.


Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akifungua shina la wakereketwa wajasiriamali wa CCM, katika kata ya Njoro, Moshi mkoani Kilimanajro, Aprili 6, 2013.


Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye (wapili kushoto) akiagana na baadhi ya viongozi na wanachama wa CCM baada ya ziara yake ya siku mbili wilaya ya Moshi mjini mkoani Kilimanajro kumalizika Aprili 6, 2013.
 
hivi kuna maeneo ambapo bado CCM na NAPE wana wafuasi?
 

Sasa kwenye MKUTANO SHONZA na MWAMPEMBA watamsema VIBAYA MBOWE? Na NAPE ataongelea CHADEMA kuwa ni CHA WACHAGGA?

Itakuw a GOOD DEMOCRACY kama atawambia jinsi anavyowakandia kuna MSEMO MSEMA KWELI HAUAWI!!!
 
Huwa nasikia Chadema ni cha wachaga na cha Kaskazini kurikoni tena Nape anaenda kwa hao hao Wachaga asiowapenda? hivi huyu Mwampamba ana ugonjwa wa kupiga picha? maana yeye ni Maphoto ila hajawajuwa bado CCM hata Tambwe Hiza alikuwa hivi hivi, naombea kungekuwa na uchaguzi wa CCM halafu agombee cheo ndio atawafahamu vyema CCM
 
kwa hiyo wanafanya movement 4 chaga...au wachaga wanaochukiwa na ccm ni wale wa chadema?
 
Sasa imekuwaje nape ameenda kwa wachanga ambapo yeye kwa domo lake alisema kawezi kujumuika na wachaga na chama chao ni chadema..
 
Kila siku wanasema chama cha wachagga,kwahiyo wameenda kuwaambia nini wachagga?

Unafiki kitu mbaya sana,very close na uchawi.
Sio Kila mchaga ni Chadema,
Huo ni usemi tu kwa sababu kila mchaga ndani ya Chadema anajiona yeye ni mwenyekiti wa taifa,
Au hujui kuwa CCM ina wabunge kutoka huko na mawaziri pia?
Kama ningekuwa na nafasi ningekuja huko pia
 
Kila siku wanasema chama cha wachagga,kwahiyo wameenda kuwaambia nini wachagga?

Unafiki kitu mbaya sana,very close na uchawi.
Ila ukiziangalia hizo picha kwa jicho la tatu zina ujumbe mzito sana kwamba licha ya vijana wa Moshi kuandaliwa malori ili wakampokee Nape lakini wamegoma, na hapo kwa uchache ninaowaona ni Wanachuo wa chuo cha Ushirika ambao ni misukule ya CCM ndio walikubali kuacha masomo yao na kwenda kumpokea Nape.

Hakuna CCM Moshi hiyo ndio fact.
 
Hao masalia watatembezwa watatembezw mpk watie akili. Sasa wamekuja pima maji?
 
Kweli magamba wamechoka kabisa.Wamekusanya vibinti vilivyovaa skin tight kwa wingi sana.Wanamaanisha nini?
 
Magamba mna kazi nzito kwani kanda ya kaskazini ilishakombolewa zamani.Mnajisum,bua bure.
 
Watamnwesha mbege halafu watamwacha solemba.Hakuna zuzu klm
 

Sasa kwenye MKUTANO SHONZA na MWAMPEMBA watamsema VIBAYA MBOWE? Na NAPE ataongelea CHADEMA kuwa ni CHA WACHAGGA?

Itakuw a GOOD DEMOCRACY kama atawambia jinsi anavyowakandia kuna MSEMO MSEMA KWELI HAUAWI!!!

wakuu naomba ufafanuzi wa matumizi ya haya maneno kama yanafanana......
Kuenguliwa vs kufukuzwa
 
Sio Kila mchaga ni Chadema,
Huo ni usemi tu kwa sababu kila mchaga ndani ya Chadema anajiona yeye ni mwenyekiti wa taifa,
Au hujui kuwa CCM ina wabunge kutoka huko na mawaziri pia?
Kama ningekuwa na nafasi ningekuja huko pia
Sijui mwenzetu una cheo gani CCM hadi useme ungekuwa na nafasi ungekuwepo pale!! kukurupuka ni kubaya sana. hebu tuelimishe kidogo siku hizi mtu anapofukuzwa kwenye chama tafsiri mpya anaitwa aliyejienguwa? maana naonma hapa kwenye hizi picha tunaambiwa Mwampamba na Juliana walijienguwa Chadema!!
 
Sio Kila mchaga ni Chadema,
Huo ni usemi tu kwa sababu kila mchaga ndani ya Chadema anajiona yeye ni mwenyekiti wa taifa,
Au hujui kuwa CCM ina wabunge kutoka huko na mawaziri pia?
Kama ningekuwa na nafasi ningekuja huko pia
Siyo kila mchagga ni chadema lakini chadema ni chama cha kichagga?Uje kufanya nini?Hatutaki wanafiki na watu wenye "two faces".
Wachagga hao hao mnaowaponda humu kila kukicha ndiyo hao hao unaowapa credibility kuwa wamechagua wabunge wa ccm,na kudai eti ungekuwa na muda ungekuja,uje utuambie nini?
 
Back
Top Bottom