Julieth Ms
Senior Member
- Nov 29, 2011
- 102
- 37
na nyumba unachoma? Na gari unachoma? Na wadogo zako alosomesha unawadisqulify? Na nyumba alojenga kwenu unabomoa?
Una moyo
Mi nateketeza kila kitu sipendi mambo ya baby come back NO way
na nyumba unachoma? Na gari unachoma? Na wadogo zako alosomesha unawadisqulify? Na nyumba alojenga kwenu unabomoa?
Una moyo
nyumbani kwangu nina sanduku maalum linakaa darini,humo nimejaza bad memories zote,siku nikipigwa chepe watakaobaki duniani watajua wenyewe nini walifanyie.Ila hata mimi huwa najiuliza hao mahawara ambao tuki differ huwa tunatelekeza huko nguo (mpaka za ndani) baadae huwa wanazifanyia nini?
Julie kwani hivyo vitu ndivyo vinavyoita "baby come back" ??Unaweza ukachoma kila kitu na bado ukashawishika kurudi kama unashawishika kirahisi.
Kwenye mahusiano/ndoa watu hua wanapiga picha pamoja . . . kwa ajili ya ukumbusho.
Kwa wale mlioko facebook mnajua siku hizi hizo picha haziishi kwenye album makabatini tu na ukutani ila mpaka mitandaoni unakuta mmoja ana picha kibao za mwenzake bila kusahau description za ohh huyu ndie. . baby wangu and so so.Nimeona mmoja kajaza kweli za girlfriend wake nikajikuta najiuliza kama siku wakiachana atazifutilia tu mbali au itakuaje.
Swali. . .je ikiwa mahusiano yatavunjika zile picha mlizopeana na kupiga pamoja zinatakiwa zifanyweje?Ni sahihi kuziweka tu?Zinatakiwa zitupwe/chanwe. . . kama jibu ni ndio je za harusi?Ni sahihi kweli kuharibu/tupa picha unayopenda kisa tu uliyeachana nae yumo?Na kama ukiweka kuna madhara?
mi nilizichana,nikazichoma moto,majivu nikayafunga kwenye kitambaa kichafu,nikatupa porini!
Hehehe. . . yeah unamchana mhusika we unabaki na kipande kinachokuhusu.
Sasa kwanini unaogopa kumbukumbu?
mi nilizichana,nikazichoma moto,majivu nikayafunga kwenye kitambaa kichafu,nikatupa porini!
Mi nateketeza kila kitu sipendi mambo ya baby come back NO way
Picha ni taswira inayobakia kutokana na muonekano wa mtu kutokana na tukio na kipindi maalumu.
Kuzitupilia mbalini, au kuzihifadhi kutatokana na utashi wa mtu. Kwangu mie binafsi sioni hasara kuhifadhi
kumbukumbu ya matukio ya awali, kwani nishajikubalisha ya kale hayanuki.
Picha ni taswira inayobakia kutokana na muonekano wa mtu kutokana na tukio na kipindi maalumu.
Kuzitupilia mbalini, au kuzihifadhi kutatokana na utashi wa mtu. Kwangu mie binafsi sioni hasara kuhifadhi
kumbukumbu ya matukio ya awali, kwani nishajikubalisha ya kale hayanuki.
Julie kwani hivyo vitu ndivyo vinavyoita "baby come back" ??Unaweza ukachoma kila kitu na bado ukashawishika kurudi kama unashawishika kirahisi.