Picha zilizo nihuzunisha moyoni mwangu ni hizi

Kwa mujibu wa taarifa ya vyombo vya habari jana, hata Mahindi ya msaada yameibwa mjini Mogadishu, watu mara zote ni wanyama ila tu kumjua Mungu husaidia kumfunga binadamu gavana ya maisha. otherwise, unyama unyama tu! tukumbuke utaiba, utakuwa tajiri, lakini baada ya KIFO ni HUKUMU tu, hakuna cha sala wala nini, kanuni ya KUPANDA na KUVUNA ni divine principle, UMEPANDA mabaya UTAVUNA yale yale.

Wanaoiba Mahindi Mogadishu wamwogope Mungu, hizi picha zinatisha.
 
Sijajivuna ndugu hawa wanagomea vitu ambavyo vinawaumiza bila sababu ya msingi
sasa wanabaki kuumia na kuumiza viumbe visivyo na hatia
kwanini wasikae chini wakatoa tofayti zao? Huku ni kujikweza
kila mtu hataki kuwa chini ya mwenzie haya ndo matokeo
wala usimsingizie mungu yeye kawapa arhi kila mtu atumie sasa kisa cha kutoana roho
huu ni uroho wa madarakam.mungu wala asiingizwe kwenye upupu wao lahaula



ndugu yangu huyo mungu aliyewanyima hawa ndo kakupa wewe. Tena usisema kabisa, maana laiti ungejua namna ambavyo mungu alivyo na sera kama za marekani wala usingekaa chini ujivune hivyo kwa kuwa mungu kakupa wewe mvua. Mungu hana rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu. Leo amekupa wewe mvua, lakini kesho atakunyima, hela utakuwa nayo lakini haitakuwa na uwezo wa kununua chakula kwa kuwa hakitakuwepo. Tuwaombee rehema hawa wenzetu. Hawakupenda yawakute hayo. Laiti mvua ingenyesha halafu wakashindwa kulima, tungewalaumu lakini hawana mvua, wafanyaje kuikabili hiyo changamoto. Au watengeneze mvua zao?
 
Ukweli ni kuwa inauma sana. Inaonyesha binadamu asivyokuwa na huruma. Wapo watu humo Somalia wanaua watu eti ni vita ya dini. Ndiyo kuna njaa Somalia lakini ingeweza kudhibitiwa kama kungekuwa na amani. Mungu aipushie nchi yetu aibu hii, ingawa tukio kama hilo ni aibu kwa Afrika na dunia nzima.
 
Aid workers rush to help East Africa's hungry
Officials warn as many as 800,000 children could die across the Horn of Africa due to hunger and drought.
  • previous
    somali-famine-refugees-seek-aid-20110819-095234-209.jpg
    next
MOGADISHU, SOMALIA - AUGUST 19: A young malnourished girl breathes in oxygen at a Turkish field hospital on August 19, 2011 in Mogadishu, Somalia. The tented hospital, opened this week by the Turkish Ministry of Health, is located next to a large camp for Somalis displaced by famine and drought. Some 100,000 Somalis have fled famine conditions in the countryside to Mogadishu in the last three months, according to the UN, setting up makeshift shelters in camps throughout the capital. (Photo by John Moore/Getty Images)p for Somalis displaced by famine and drought. Some 100,000 Somalis have fled famine conditions in the countryside to Mogadishu in the last three months, according to the UN, setting up makeshift ...
  • previous
    2011-08-01T153337Z_01_AFR15_RTRIDSP_3_SOMALIA-FAMINE.jpg
    next

  • An internally displaced woman sits with her malnourished children at Badbado refugee camp in the south of capital Mogadishu August 1, 2011. Somalia's famine refugees, weakened by months of drought, on Monday began Islam's punishing Ramadan fast amid the tents and shacks of the world's largest refugee camp. REUTERS/Omar Faruk (SOMALIA - Tags: DISASTER ENVIRONMENT FOOD)
  • Internally displaced children queue for food supplies at the Badbado refugee camp in the south of capital Mogadishu August 1, 2011. Somalia's famine refugees, weakened by months of drought, on Monday began Islam's punishing Ramadan fast amid the tents and shacks of the world's largest refugee camp. REUTERS/Omar Faruk (SOMALIA - Tags: DISASTER ENVIRONMENT FOOD)
  • Internally displaced children queue for food supplies at the Badbado refugee camp in the south of capital Mogadishu August 1, 2011. Somalia's famine refugees, weakened by months of drought, on Monday began Islam's punishing Ramadan fast amid the tents and shacks of the world's largest refugee camp. REUTERS/Omar Faruk (SOMALIA - Tags: DISASTER ENVIRONMENT FOOD)
  • Adam Ibrahim, a severely-malnourished five-year-old boy, rests inside a makeshift tent at Badbado camp south of capital Mogadishu August 1, 2011. Somalia's famine refugees, weakened by months of drought, on Monday began Islam's punishing Ramadan fast amid the tents and shacks of the world's largest refugee camp
 
Inalillah wainaillah rajiuun,wasomal wanatabu,haya OIC mko wapi???muwasaidie hawa jamaa,,,,,,,nataka niione nguvu ya OIC hapa,
 
Picha za watoto zimenitoa machoz na kunihudhunisha siku nzima, Nawish ningekuwa front line kuwasaidia severely malnourished children. Na hao watoto wanahitaji chakula na dawa, within 14 days wanapona complications zote. Kunahitajika sustainable assistance.
 
Mwenyezi Mungu tunusuru na haya majanga na uwarehemu hawa wenzetu wanaopoteza maisha kwa majanga kama haya ya somalia. AMINA
 
Halafu eti kuna watu wanalalamika Tanzania kuna njaa! Jamani tusimkufuru Mungu kwa kutazama walio juu yetu, tutazame walio chini yetu.

Eeeeh Allah, waondolee hawa binaadam dhiki hizi na utuepushe nazo Watanzania na utuepushe na vyama vya siasa vinavyoleta chokochoko za kuanzisha fujo na kutaka kutufikisha katika tusiyoitarajia. Eehhh Allah waangamize kwanza hao wanaotaka kutuletea machafuko nchini mwetu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom