Picha: Ziara ya Kinana Geita

tuhuma walizonazo ni kubwa mno shida ninayoiona kwa chama cha mapinduzi wanajifanya hawasikii, kwa mtu mwenye akili za kawaida abisa angeanza kujibu tuhuma mbalimbali, hoja za chama cha mapinduzi nje ya kujibu tuhuma mbalmbali walizonazo ni kujidanganya tu. epa, utoroshaji wa wanyama, hai mabilion uswisi na kashfa nyingine nyingi zinahitaji majibu ya kisheria sio ziara za kichama. majibu ya tunajenga barabara hospitali na kadhalika hayawezi kuhalalisha wizi wa mali za umma unaofanywa na uliowahi kufanywa na viongozi wa ccm
 
I have to declare first my interest: mimi sio mwanachama wa chama chochote.
Kwa wale wanaojua utaratibu wa utendaji serikali ndio wajibu hili,
Hivi ndg.A. Kinana amekabidhi leseni kwa wachimaji madini wadogo kama nani hasa?
taratibu za serikali nani anastahili kufanya kazi hiyo?
kwa wenye majibu tafadhali
 
naambiwa watu walikuwa kiduchu wengi walikuja kwa mabasi ya mwenyekiti wa mkoa aitwae msukuma na watumishi ndio maana anaona style ya picha zilivyopigwa ....watu walifuata ngoma namziki tu hapakuwa na jipya ni ahadi tu .....yaani hata mkutano wa diwani sio hivyo

kinana Noma.. Fitna na Propaganda ndo zake; Rudi kundini
 
tuhuma walizonazo ni kubwa mno shida ninayoiona kwa chama cha mapinduzi wanajifanya hawasikii, kwa mtu mwenye akili za kawaida abisa angeanza kujibu tuhuma mbalimbali, hoja za chama cha mapinduzi nje ya kujibu tuhuma mbalmbali walizonazo ni kujidanganya tu. epa, utoroshaji wa wanyama, hai mabilion uswisi na kashfa nyingine nyingi zinahitaji majibu ya kisheria sio ziara za kichama. majibu ya tunajenga barabara hospitali na kadhalika hayawezi kuhalalisha wizi wa mali za umma unaofanywa na uliowahi kufanywa na viongozi wa ccm
Wananchi wanachooitaji ni Maendeleo . Na maendeleoni Barabara ,shule na huduma za afya
 
Kwani Katibu mkuu wa CCM ana mamlaka yapi kisheria ya kutoa leseni za uchimbaji madini? Ni sheria ipi imempa mamlaka hiyo? Na kwanini wawagaiwie sasa? Kweli nchi hii bado ina wadanganyika wengi sana.

Hata mimi nadhani kuna tatizo kuhusu Katibu Mkuu wa CCM kukabidhi leseni za uchimbaji madini, nini nafasi ya Wizara ya Nishati na Madini? Naona kama chama kinaingilia utendaji wa Serikali. Je, Serikali ni dhaifu kiasi hicho?
 
Wananchi wanachooitaji ni Maendeleo . Na maendeleoni Barabara ,shule na huduma za afya

hata wakiibiwa rasilimali watulie tu kisa barabara ambazo, jammaa zako wanasema wanajenga, these guys are thives warudishe wanyama mabiolion ya uswisi ili waje kuboresha hizo barabara na shule unazosema wewwe na hata kujenga zingine .
 
Kwani Katibu mkuu wa CCM ana mamlaka yapi kisheria ya kutoa leseni za uchimbaji madini? Ni sheria ipi imempa mamlaka hiyo? Na kwanini wawagaiwie sasa? Kweli nchi hii bado ina wadanganyika wengi sana.


You dont know anything, if you are questioning why CCM are issuing licences>" IT IS CALLED PLAYING POLITICS ANYWAY YOU CAN" and they are winning my friends, mwanzo yalikuwa mazoezi naona ngoma ndio hii.
 
Ule usemi wa CCM kuwa ukitaka kufanya biashara jiunge na CCM sasa unatimia.

Hata hivyo suala hili la chama cha siasa kukabidhi leseni kwa wafanyabiashara ni aina ya rushwa na pia inapelekea wafanyabiashara kutumia chama cha siasa kukwepa kodi, kutoa rushwa , kuzalisha bidhaa feki kama ARV- Feki n.k

Pia naamini ni kinyume cha sheria kwa kiongozi wa chama ambaye si mtendaji - kiserikali (waziri, meya, diwani) kama alivyo Abdulrahaman Kinana kufanya kazi za taasisi ya serikali.
 
Ule usemi wa CCM kuwa ukitaka kufanya biashara jiunge na CCM sasa unatimia.

Hata hivyo suala hili la chama cha siasa kukabidhi leseni kwa wafanyabiashara ni aina ya rushwa na pia inapelekea wafanyabiashara kutumia chama cha siasa kukwepa kodi, kutoa rushwa , kuzalisha bidhaa feki kama ARV- Feki n.k

Pia naamini ni kinyume cha sheria kwa kiongozi wa chama ambaye si mtendaji - kiserikali (waziri, meya, diwani) kama alivyo Abdulrahaman Kinana kufanya kazi za taasisi ya serikali.

Leseni za madini zinatolewa na katibu wa ccm, je anaweza kuwagawia wanachama wa vyama vingine? maombi ya leseni walituma wapi hawa waliopewa leseni? Na ilikuwaje Wizara impe huyu Katibu kazi ya kugawa leseni hizi? maswali ni mengi na kibaya zaidi hakuna wa kunijibu nikaridhika.
 
Baada ya Machinga Kutambua chchm hawana mchango wowote kwao wala hawakujisumbua hata kusimama kuwasalimia. Nape Nauye, ikamlazimu apinde mgongo wake kuwasalimia wadogo zake. Ama kweli kurudisha heshima ya chama kazi!

 
Baada ya Machinga Kutambua chchm hawana mchango wowote kwao wala hawakujisumbua hata kusimama kuwasalimia. Nape Nauye, ikamlazimu apinde mgongo wake kuwasalimia wadogo zake. Ama kweli kurudisha heshima ya chama kazi!


Hao ni makamanda tu, maake hata hawahangaiki nae
 
kwa kuwa viongozi wenu wanapenda usultani na umungu mtu,sisi tunawaheshimu hawa ndio waliotuajiri kwa kutupa kura zao,so lazima tujinyenyekeze kwao,ccm wapiga kura ndio mabosi,hivyo kwa mabosi kukaa wakati mtumishi wao anawasalimia poa tu,usultani wenu ndio unaofanya wananchi wawakatae,wanajiona hawako connected na nyie
unajifariji tu, ukweli ni kwamba hao vijana wanaona ccm ndio walio wasababishia ugumu wa maisha na ndio maana wameamua kutokuwajali viongozi wenu. wangekuwa CDM kila mmoja angetabasamu kwa bashasha ya matumaini mapya.
 
imbombo ngafu,naona sasa hawafanyi mikutano ni kudhurula tu kwenye masoko na vijiwe kupoteza mda,watakuja kushituka 2015 hiyooo mavi ndipo yatawajaa kwenye suruali
 
gold-bars-india.jpg
EACAssem1.jpg
Crisis-in-Africa-Elephant-Poaching-on-the-Rise-695x464.jpg
Ivory.jpg
kinana.jpg

mkuu hili jamaa ndo linapeleka hii kitu CHINA?
 
mbona kazi ya kugawa leseni ni ya kamishina wa madini kinana ameingiaje huko au baada ya kupewa cheo amekwapua mamlaka ya kisheria ya kamishina? kweli ccm ni zaidi ya tuijuavyo.."

Mungu tusaidie ccm ife ifikapo 2013, ili isije ikaendelea kutumiwa na majangili kuhujumu uchumi wa nchi
 
Wananchi wanachooitaji ni Maendeleo . Na maendeleoni Barabara ,shule na huduma za afya

Yaani hayo ndo maendeleo peke yake unayoyajua au? what about technology development? what about industrialization?
 
Duh ccm bwana...yaani KInana anahusika na kutoa leseni za uchimbaji migodini???

Mkuu asigwa, nakuunga mkono. Kwa mtindo huu, Waziri wa Nishati na Madini, Katibu Mkuu au Kamishna wa Madini hawana kazi tena !!! Maombi ya leseni yalifanyika wapi ?
 
Kwani Katibu mkuu wa CCM ana mamlaka yapi kisheria ya kutoa leseni za uchimbaji madini? Ni sheria ipi imempa mamlaka hiyo? Na kwanini wawagaiwie sasa? Kweli nchi hii bado ina wadanganyika wengi sana.

Jamani soma vizuri kilichoandikwa. Leseni hazikutolewa na Kinana, leseni zimetolewa na serikali Kinana alichofanya ni kuzikabidhi kwa wenye nazo tu.

Tiba
 
Back
Top Bottom