Nikiwauliza Waislamu, inakuwaje mnakuwa na vurugu namna hii, kwanini msitafakari kimetokea kwa ajili gani, mnakurupuka kuanza kuchoma Makanisa. Wao wanajibu-wanaofanya vurugu na kuchoma Makanisa ni WAHUNI!
Kwa hiyo Uislamu ni UHUNI kwa kuwa hakuna Mwislamu anaye kubali kuwa kitendo cha kuchoma Makanisa ni sahihi![/QUOTE]
Soma wewe mwenyewe ulichoandika ndugu yangu, hivi ni taabu sana kusheshimu dini za watu wengine? Uenisikitisha kuita Uislamu ni uhuni.. halafu unalalamika watu wanaofanya vurugu ... maneno ya ktoka kwa makafiri kama wewe ndio yanaleta hii vurugu inayotokea. Alkafiruna mkubwa wewe!!