Kama serikali haitakuwa makini na kusimamia sheria za nchi yetu pamoja na kufanya maamuzi magumu, na hasa kwa viongozi walio Waisilamu kuwaambia ukweli Waisilamau wenzao hakika hizi propaganda za akina Shekhe Ponda na wenzake zikiingia vizuri kwenye vichwa vya Waisilamu walio wengi tena ambao maisha yameshawashinda ujue Tanzania itazalisha magaidi wengi kuliko hata Somalia na Afghanistan. Naanza kuona umoja na amani yetu ikipotea. Huku chuki na visasi vikianza kukua kwa kasi sana katika jamii yetu, JK need to do something here.
Nikiwauliza Waislamu, inakuwaje mnakuwa na vurugu namna hii, kwanini msitafakari kimetokea kwa ajili gani, mnakurupuka kuanza kuchoma Makanisa. Wao wanajibu-wanaofanya vurugu na kuchoma Makanisa ni WAHUNI!
Kwa hiyo Uislamu ni UHUNI kwa kuwa hakuna Mwislamu anaye kubali kuwa kitendo cha kuchoma Makanisa ni sahihi!