Picha za tanzania/watanzania

Wana mbunge bilionea. So no prob!
 
mbona ni za wamasai tu? kwanza nna allergy nao
 
Ni kweli hao ni watanzania, hata baadhi yao nawatambua hata kwa majina. so what?????
 
Unauthibitisho gani kuwa ni watanzania kwani, wamesai wako hata Kenya mbona na kama ni picha za wananchi wa vijijini nadhani hata wa makabila mengine zinaweza fanana na hizi au zikawa mbaya zaidi, all in all hao wa kwenye hizo picha hasa hasa za kwanza wana hali ngumu hasa!
 
Ambitious hata wewe na Mwali mmekuwa adimu sana kwa kweli....
Anyway karibu chitchat hata uweunatusalimu tu...!
Pia salamu zangu kwa bibie Mwali najua kupitia wewe salamu zangu zitafika salama!

Pamoja kaka mimi mbona nipo sana ila nakuwa kimya huu mwezi mtukufu watu hawakawii kutengua swaumu za watu humu..
 
Last edited by a moderator:
Pamoja kaka mimi mbona nipo sana ila nakuwa kimya huu mwezi mtukufu watu hawakawii kutengua swaumu za watu humu..
Hahahaaaaa Ambitious pambana na vikwazo na vishawishi uibuke shujaa
Onyesha uko imara kwa kuviface na kuvishinda...lol umenifurahisha sana!
Otherwise tukishakula pilau la idd usiotee tena kijana!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…