Picha za Rostam Aziz kwenye harakati

Picha za Rostam Aziz kwenye harakati

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
1,446
Reaction score
2,093
Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete akimnadi mgombea ubunge Jimbo la Igunga,Rostam Aziz katika uwanja wa SabaSaba mjini Igunga 2010
1756120832835.png


1756122580380.png


Rostam na Hayati Rais John Pombe Magufuli 2018
1756120720377.png


Katika zoezi la kurejea CCM, Lowassa aliambatana na swahiba wake wa muda mrefu ambaye pia aliwahi kuwa mbunge wa Igunga na mfanyabiashara maarufu nchini, Rostam Aziz , 2019
1756122234278.png


1756122330158.png



1756123865949.png


1756122969844.png



1756123612936.png
 

Attachments

  • 1756123167766.png
    1756123167766.png
    309.7 KB · Views: 16
Trust me guys naposema Magufuli aliuawa. I cant say exactly by who, but kuna kikundi cha very few people ambao aliwazibia milango ya ufisadi wao. Lakini kwenye hako kakikundi i'm 99% sure yupo pia rais, rais mstaafu na huyo muhindi.

Time will tell everything very soon.
 
Trust me guys naposema Magufuli aliuawa. I cant say exactly by who, but kuna kikundi cha very few people ambao aliwazibia milango ya ufisadi wao. Lakini kwenye hako kakikundi i'm 99% sure yupo pia rais, rais mstaafu na huyo muhindi.

Time will tell everything very soon.
Duh!
 
Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete akimnadi mgombea ubunge Jimbo la Igunga,Rostam Aziz katika uwanja wa SabaSaba mjini Igunga 2010
View attachment 3452446

View attachment 3452482

Rostam na Hayati Rais John Pombe Magufuli 2018
View attachment 3452435

Katika zoezi la kurejea CCM, Lowassa aliambatana na swahiba wake wa muda mrefu ambaye pia aliwahi kuwa mbunge wa Igunga na mfanyabiashara maarufu nchini, Rostam Aziz , 2019
View attachment 3452480

View attachment 3452481


View attachment 3452498

View attachment 3452489


View attachment 3452497

IMG_20250825_152804.jpg
 
ROSTAM NA MASHATI MEUPE

Kama umegundua, huwa anapenda kuvaa shati jeupe kwenye public.

Nenda YouTube angalia press zake.

Google picha zake.

Nyingi utakuta ana shati jeupe au koti la suti na shati jeupe ndani.

Bado sijafahamu kwa nini anapenda kuvaa hivyo.

Ila naamini kuna kitu behind.
 
ROSTAM NA MASHATI MEUPE

Kama umegundua, huwa anapenda kuvaa shati jeupe kwenye public.

Nenda YouTube angalia press zake.

Google picha zake.

Nyingi utakuta ana shati jeupe au koti la suti na shati jeupe ndani.

Bado sijafahamu kwa nini anapenda kuvaa hivyo.

Ila naamini kuna kitu behind.
Nguo nyeupe ni nuru mkuu uje nikufundishe langi mpaka blue ujue kwanini Jayz ameita album blue print
 
Back
Top Bottom