Picha za Mtuhumiwa wa mauaji ya Padre Zanzibar

Hapo ndio tujue kuwa wenzetu hawabahatishi na hawana siasa kwenye kazi zao proffessional....kazi kweli kweli!!wamehadithiwa tu wamemchora mtu yule yule!!

Mkuu jamaa hawa mahili sana, na hawabahitishi - lakini hapa utasikia oh mbona kuna watu wengi Zanzibar wanao fanana nae - lakini wako kimya kuhusu anacho zungumza wakati anashikilia maiki!! Sura na misimamo yake/itikadi na jinsi alivyo kuwa anaji-conduct kwenye community hutakuwa ni ushahidi tosha; hakuna cha kufurukuta PALE.
 
Kuwalinganisha CCMTISS na FBI ni sawa na kulinganisha bahari na kisima. Hawa CCMTISS ni watu wa kutumwa tumwa kama mbwa na maCCM wakati FBI wanafanya kazi kwa weledi wa hali ya juu na matunda tumeyaona
sio bahari na kisima tu yaani ni Usingizi na Kifo
 
MUUAJI.jpg


2+%282%29.jpg



mchoro.jpg


SOURCE: MPEKUZI BLOG

mwenye picha ya kamanda wa polisi zanzibar alieonyesha picha ya kuchora atuweekee hapa mbona nae anafanana na picha ya kuchola ukimtoa kofia ya polisi ukimvalisha kama hiyo alionayo mtuhumiwa.mimi bado sitaki kuamini kuna maswali mengi ya kujiuliza ila ngoja tuone picha ndo kwanza imeanza isije kuwa kwa kuwa alisema kuanzisha vikundi vya ualamia ndo wakaona huyu huyu.....napita tu kama jina langu naenda kulala...!!
 
attachment.php
attachment.php
attachment.php

attachment.php
attachment.php
attachment.php


VIDEO:


Naomba mods usiichanganye na zile topic zingine zenye kuhusisha hii issue. Maana kulikuwa na mjadala mkubwa kuhusu uchoraji wa picha na ambavyo unaweza kutumika kama sehemu ya kumtrace mtuhumiwa
attachment.php




Kwa uchoraji kama huu, tutaweza kweli kukamata mtuhumiwa husika? Picha tofauti kabisa na huyu jamaa.
 
Last edited by a moderator:
Mi nahisi kuna kamchezo kamefanyika. Lililofanyika asilimia 99 si kweli.
 
hivi wewe mbona mbishi sana.
Musa ali musa ana weledi gani wa kuchora picha kwa maelezo.

Huyo gaidi ndio yeye ataunganishwa na viongozi wa uamsho mabosi wake kuelekea guantanamo

Ni kweli mkuu, uchoraji wa picha kwa maelezo ni mgumu sana, watu wa usalama nchini sijuhi kama wana taaluma ya namna hiyo. Hii itakuwa ni kazi ya FBI tu, waswahili wasitudanganye hapa uwezo huo hawana.
 
Naona umeunganisha movie hapa hapa kwa,kutunga uongo hukua makini na
wala hukujipanga umeanza kukosea hata jina la mtuhumiwa
limekushinda kulijufahamu!!!Inawezekana kabisa hata zenj hujawahi kukanyaga,hakuna mzanzibari anayeweza kuandika au kutamka,UHAMUSHO
Aidha ataita UAMSHO au MUAMSHO lakini,SIO,UHAMUSHO. Jipange tena ndugu hapa hukufanikiwa!

We kwel mpemba Mbishi, kuna tofauti ya kutamka na kuandika, au huyo mdau amekutumia voice clip...
 
Mara nyingi wauaji huwa hawana title, wenye title ni ma planners ambao siyo raisi kwenda kufanya shughuli za mauaji.

Inaonekana una experience ya kutosha kwenye hiyo sector ya mauaji, au unafanya kazi machinjoni...
 
huyu ndiye kabisa hakuna ubishi hapa, acha akaeleze ametumwa na nani



Sasa huko kwa aliyemtuma, interrogation haitakiwi kufika huko. Hawezi kuulizwa hivyo na kwa kuwa kakosea mahesabu anatakiwa kufa peke yake na akionekana dalili za kuropoka anaweza akatoka mahabusu aasiweze kusema.

Au wewe huoni yule aloka matwa kwa Mwangosi? Japo suala liko peupe lakini hakuna mtu anadiriki kuzungumzia wahusika wengine wa mauaji yale!!!!!!

Labda tenda ya kuhoji na kuprosecute wapewe FBI wale wale.
 
Hebu tutoleeni Upuuzi hapa... Kwanini Hawakuleta FBI kuchunguza aliyemtesa na kumteroraizi Dr ULIMBOKA??? Think outside the BOX.... Hawa Jamaa kuna kitu wanakitengeneza hapa... mwisho wa siku tutaambiwa ana link na AlQaeda....
Hivi ni Hela gani zinatumika kuwalipa hao FBI kuja kuchunguza kesi kama hii...?? OFKOZ ni za walipa Kodi...

Na kwa nini usubiri kuambiwa wakati hata wewe unaweza kufanya mchanganuo?

Kama ni gaidi, na yuko uamsho ama cuf ama peke, ni lipi la kushangaza ikiwa atakuwa na link na Alquaeda, boko haram, ama alshababu ikiwa anafanya kama wao?

Ni vyema sana serikali ikabinafsisha inteligensia yake kwa FBI ili Tz iendelee kuwa nchi salama ya kuishi kuliko kuendeshwa na hawa magaidi wa alqaeda.
 
Yaani unaabisha hili jukwaa kama mpaka sasa hujui nani alimuua John F Kenedy? usiwe unaingiza ubisha kwa jambo usilojua au usilo na uhakika nalo!! unajichora!!

si tuambie tu nani alimuua ??? hivyo ulivyosikia katika BBC au CNN
 
sasa waliambiwa kuwa yuko hvyo au walikuwa wanamjua?

Sent from my blackberry 9860 using jamiiforums

hiyo ni taaluma ndugu yangu, kama huna idear unaweza usiamini. Kuna vielelezo kibao vinachukuliwa kutoka kwa walioshuhudia na hata maiti pia, hakuna kusingizia wala nini. Na bahati nzuri fbi hawafanyi kazi kwa kusikiliza chama flani, kwa hiyo matokeo huwa ni almost sahihi
 
Kwa uchoraji kama huu, tutaweza kweli kukamata mtuhumiwa husika? Picha tofauti kabisa na huyu jamaa.
Mkuu Mkereketwa, frankly speeking. Kama hii picha ndio iliyochorwa na FBI basi huyo mchoraji si mtaalam, kweli FBI wanatumia sana hii sanaa ya uchoraji, ila wanachora image na sio vibonzo kama hivi. Kuna comments nyingi jamvini hapa ila wengi wetu hatuna utaalam hata drawing na graphics. Huwezi kumtia mtu hatiani kwa kutumia image ya drawing ambayo ni unproffesional kama hiyo unless kama kuna evidence nyingine.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom