BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,163
sina hata moja,
baada ya kipindi fulani nazidestroy
baada ya kipindi fulani nazidestroy
Wifi yako ambaye nae nishamwaga, alizifuma akazichoma moto zote mpaka zake, zimebaki za kwenye facebook tu.ninayo.... Ipo store... Sijaiangalia muda mrefu sana nahisi imeliwa na panya...
Enhe na wewe mike? Jinsi ulivyokuwa unampenda yule dada umezichoma moto kweli??
Wifi yako ambaye nae nishamwaga, alizifuma akazichoma moto zote mpaka zake, zimebaki za kwenye facebook tu.
mh! Aisee nikizifuma za wife patachimbika, ila mm ninazo cjui atamaindi akiziona? Maana za kwenye cm naona hamaindi!
Nakunyemelea lakini naogopa, ila nimepata ujasiri kwa nitonye ametangaza nia kwa sweetlady, naomba namimimimimim.......................... loading!dah au mlikuwa kwenye pozi la ajabu katika hizo picha mpaka wifi aka panic??
Halafu bana upunguze kuwamwaga mawifi zangu.. Muda wa kutafuta mke wa kuoa huu.. Au mpaka wazazi wakushtue!
ukumbusho wa mazuri mliyo share... Japo kapicha kamoja....
Binafsi nilichoma kila kitu mpaka zawadi alizowahi kunipa na kufuta kumbukumbu zake zote,na ilinisaidia kumsahau na kumtoa mawazo haraka!
i still have them kwenye album na zingine mwenza wangu amesave kwenye laptop yake hataki kuzifuta ansema its my memory na hana wivu nae kwa vile anajua nothing is going on with me and her again.
hifadhini kumbukumbu kwani yaliyopita yamepita