Nyalotsi
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 6,978
- 5,025
duuh nakuelewa ndugu yangu inataka moyo kweli maana unaanza ku imagine mambo mengi ukiona picha ya mtu mwenyewe halisi bora kutomjua kabisa....
mi niliweka kwenye album, mwenyewe alipoziona aliziangalia,akamthaminisha,akaniuliza huy nani? Nilipomwambia ni ma x akazichukua na kuziweka chini ya picha zingine.