zinavutia sana lakini naona saruji inakwisha kwa kasi sana.
Why?
no more snowcapped peaks? Global warming?
Ni kweli inategemea picha imepigwa msimu wa kiangazi au wakati wa baridi na mvua.,lakini ukibahatika kufika huko kileleni ndio umaweza kuappreciate kinachoonekana kwenye hiyo picha, mimi nimewahi kubahatika kupanda huo mlima, ukiwa uhuru peak unaweza kuona vizuri mazingira ya huko juu, hali ni mbaya kwa kweli, ile permanent snow cap inatoweka kwa kasi ya ajabu kutokana na global warming, ni kweli kama wanavyosema wataalamu baada ya miaka labda 15 au 20 ijayo hicho kilele kitakuwa hakina tofauti na kichuguu.