Picha za mlima Kilimanjaro toka angani

Lucchese DeCavalcante

JF-Expert Member
Jan 10, 2009
5,471
733
Pateni picha za mlima wetu kama nilivyofanikiwa kupiga toka angani! Cha kusikitisha barafu ndio inayeyuka hivyo...

Kibo%20-%20no%20more%20snow%20clear%20sign%20of%20global%20warming%2C%202%20years%20ago%20the%20entire%20peak%20was%20covered%20in%20snow%20saw%20that%20myself.JPG




Kibo%20upclose.JPG




IMG_0817.JPG



Mawenzi%20-%20had%20some%20snow%202%20years%20ago.JPG
 
Haya ndiyo matokeo ya kuharibu mazingira. Tunajichimbia kaburi wenyewe. Just imagine mito yote ambayo inatokea mlimani hapo, eventually itakauka. Namna gani hii ita-affect maisha ya watu hakuna anayejali. It is indeed very sad.
 
inasikitisha kuona hivi wakati hii ni moja ya fahari zetu lkn hakuna anayeijali,mazingira yanaharibiwa tu.
 
Hii picha itakuwa ya zamani kidogo,mimi nimetoka Kilimanjaro siku ya Ijumaa,barafu ya mlima hasa kilele cha Kibo imeongezeka sana.
 
Jamani hali ni tete kabisaa....ile barafuu imekwisha aiseee....doooo vizazi vijavyoo hakuna tena kuona barafu....ile hali hewa nayo itajapoteaa..uoto asili utaishaaaa
 
Hii picha itakuwa ya zamani kidogo,mimi nimetoka Kilimanjaro siku ya Ijumaa,barafu ya mlima hasa kilele cha Kibo imeongezeka sana.

Bandika picha mkuu, tuone ukweli wa maelezo yako!
 
sijui baada ya kizazi hiki tutawaachia urithi gani wajukuu zetu? mazingira tuimba mpaka wizara ipo lakini ni kama usanii tu,haya tuombe Mungu
 
Hii picha itakuwa ya zamani kidogo,mimi nimetoka Kilimanjaro siku ya Ijumaa,barafu ya mlima hasa kilele cha Kibo imeongezeka sana.

Ni kweli inategemea picha imepigwa msimu wa kiangazi au wakati wa baridi na mvua.,lakini ukibahatika kufika huko kileleni ndio umaweza kuappreciate kinachoonekana kwenye hiyo picha, mimi nimewahi kubahatika kupanda huo mlima, ukiwa uhuru peak unaweza kuona vizuri mazingira ya huko juu, hali ni mbaya kwa kweli, ile permanent snow cap inatoweka kwa kasi ya ajabu kutokana na global warming, ni kweli kama wanavyosema wataalamu baada ya miaka labda 15 au 20 ijayo hicho kilele kitakuwa hakina tofauti na kichuguu.
 
Everything is evolving, nature will not also remain the same! Changes are inevitable and the only question and equation is at what speed as human beings have to work for alternatives to adopt living ni the changed environment. At your own home in the village it is not the same as it used to be 50years ago. one of your ancenstors if happens that he comes back today s/he will deny that that is not hi home!!! Lots of changes to human, animals, plants, hydro, gallaxy, etc.
 
Back
Top Bottom