Kang
JF-Expert Member
- Jun 24, 2008
- 5,495
- 2,252
Kundi la wanajeshi wa Marekani lililojulikana kama "kill team" lilikuwa linaua raia Afghanistan "for fun". Wanajeshi hao wameshitakiwa kwa ajili ya mauaji hayo na mmoja amekubali shitaka la mauaji. Gazeti la Ujerumani limechapisha picha zilizopigwa na wanajeshi hao wakipiga pozi na raia waliowaua.
ONYO!!! PICHA ZA MAUAJI!!!
The War-Crimes Photos the Army Apologized For
ONYO!!! PICHA ZA MAUAJI!!!
The War-Crimes Photos the Army Apologized For