Mkuu umesahau kuweka Jina lako kamili na anuani yako ili Mh JK akupe Ukuu wa WilayaHow wonderful babu na bibi na mjukuu wow,what a wonderful family
Mkuu umesahau kuweka Jina lako kamili na anuani yako ili Mh JK akupe Ukuu wa Wilaya
kwa kweli anatekeleza vema KILIMO KWANZA kwa vitendo maana viongozi wanatakiwa wawe mfano kwa kuwa na maeneo yanayoonyesha kilimo bora!BIG UP!mama salma safi sana,nneyo peyo!
Mkuu hongera kwa mafanikio yako. Lakini wazo la Jina kamili na anuani bado lipo palepale labda biashara yako inweza kuwasaidia ccmmkuu habari! Cna shida kama unavyofikiri am a positive thinker coz viongozi wa siasa hawadetermine maisha yangu yataendaje bali ni mipango yangu na displine,sijisifu rafiki yangu bali nilipofikisha umri wa miaka 19 nilishiriki ktk kuanzisha kampuni na rafiki yangu,one year later at i registered my first company,cna njaa mkubwa
Hahahahahahhaaaa Mzazi anakwambia HIVYO UTAKUA NAVYO
Hehehe! Hana kilema banaa! Jeans imempwaya. Anaanza kuzeeka huyu nae!
Jk akizeeka Dr Slaa atakuwa anatembelea mkongojo na Junior ndio anaaza chekechekea...lol..