Picha za Green Guard, Red Brigade na Blue Guard

Picha za Green Guard, Red Brigade na Blue Guard

EMT

Platinum Member
Joined
Jan 13, 2010
Posts
14,477
Reaction score
15,347
attachment.php


7.jpg


Msafara+wa+Slaa+BK.JPG



attachment.php


Red+Brigade-1.JPG


DSC_0442.jpg



IMG_6949.JPG


IMG_5987.JPG


attachment.php
2241536655_540d01c2cf.jpg


attachment.php

mbowe_Red%2BBrigade.jpg
 
Mkuu EMT, kwa picha hizi japo zipo kwa uchache...nina kila sababu ya kuamini Rais wetu na Mamlaka zake wamekurupuka kutoa hizo "Marufuku" walizozitoa.

Hivyo hilo linanifanya nitilie mashaka uwezo wa utendaji wa Rais wetu...
 
Last edited by a moderator:
Tulipigania UHURU toka kwa wakoloni kutuwezesha Kupata chama Kimoja cha SIASA madarakani ...!Sasa vyama vya Kisiasa baada ya UHURU WA MKOLONI vinapigana na WANANCHI wake ili kupata NINI?

Poor US!!!
 
Mkuu EMT, kwa picha hizi japo zipo kwa uchache...nina kila sababu ya kuamini Rais wetu na Mamlaka zake wamekurupuka kutoa hizo "Marufuku" walizozitoa.

Hivyo hilo linanifanya nitilie mashaka uwezo wa utendaji wa Rais wetu...

Picha zipo nyingi tuu. Kila chama kina "guard" wake

DSC_0467.jpg
 
Picha zipo nyingi tuu. Kila chama kina "guard" wake

Nakumbuka nikiwa mtoto mdogo, nilishawahi kuwa mfuasi wa CCM chini ya Jeshi la watoto wadogo enzi hizo tukiitwa CHIPUKIZI...na aina ya mavazi tuliyokuwa tukivaa ni sawa kabisa na hayo ya Green Guards.

Sina uhakika kama hao watoto ninaowaona katika taswira hizo ni wale CHIPUKIZI kama tulivyokuwa au ndio hawa Green Guards!!
 
Mkuu EMT, kwa picha hizi japo zipo kwa uchache...nina kila sababu ya kuamini Rais wetu na Mamlaka zake wamekurupuka kutoa hizo "Marufuku" walizozitoa.

Hivyo hilo linanifanya nitilie mashaka uwezo wa utendaji wa Rais wetu...

Marufu toka wapi kwenda wapi? Marufuku kotoka kwa nani kwenda kwa nani ili kushinda nini? Ndio maana nahitimisha kuwa mbona inaonekana kuwa SIASA inayojikita kwenye Kumboa MWANANCHI mboana kama iko vitani tayari kumuangamiza mwananchi?
 
Mkuu kwani hujawasikia JK na yule mama Msemaji wa Jeshi la Polisi?

Marufu toka wapi kwenda wapi? Marufuku kotoka kwa nani kwenda kwa nani ili kushinda nini? Ndio maana nahitimisha kuwa mbona inaonekana kuwa SIASA inayojikita kwenye Kumboa MWANANCHI mboana kama iko vitani tayari kumuangamiza mwananchi?
 
Nakumbuka nikiwa mtoto mdogo, nilishawahi kuwa mfuasi wa CCM chini ya Jeshi la watoto wadogo enzi hizo tukiitwa CHIPUKIZI...na aina ya mavazi tuliyokuwa tukivaa ni sawa kabisa na hayo ya Green Guards.

Sina uhakika kama hao watoto ninaowaona katika taswira hizo ni wale CHIPUKIZI kama tulivyokuwa au ndio hawa Green Guards!!

Unamaanisha chipukizi kama hawa?

attachment.php
 
Picha zipo nyingi tuu. Kila chama kina "guard" wake

Kila chama!!! That Means kila chama kina GUARD wake!! Kila chama kina M GUARD!! Nani against nani? Inaonekana kama ugonjwa wa kansa umetafuna mwili mzima eh?!!! Dawa yake ... aje mkoloni Achukue nchi nini???!!
Tumejishindwa, Hatujiwezi, tunaji guard wenywe against what?
 
Mkuu EMT, kwa picha hizi japo zipo kwa uchache...nina kila sababu ya kuamini Rais wetu na Mamlaka zake wamekurupuka kutoa hizo "Marufuku" walizozitoa.

Hivyo hilo linanifanya nitilie mashaka uwezo wa utendaji wa Rais wetu...

Mkuu watu8 wewe ndo unamtilia mashaka leo!?? mbona umechelewa sana
 
Last edited by a moderator:
Kila chama!!! That Means kila chama kina GUARD wake!! Kila chama kina M GUARD!! Nani against nani? Inaonekana kama ugonjwa wa kansa umetafuna mwili mzima eh?!!! Dawa yake ... aje mkoloni Achukue nchi nini???!!
Tumejishindwa, Hatujiwezi, tunaji guard wenywe against what?

Blue guard wa CUF hao

images
 
Back
Top Bottom