Reminds me of a say "Show me your friends and i would tell who you are!"
hebu mjibu BT swali lake kwanza dear vivian..
Reminds me of a say "Show me your friends and i would tell who you are!"
hebu mjibu BT swali lake kwanza dear vivian..
unatumia id gani huko uso kitabu?Hivi ni marafiki zangu tu au?
1, Kuna mmoja kaweka picha akiwa kakaaa chini, mapaja nje hala kufuli jeupe linaonekana kwa mbaaali.
2. Kuna mwingine kaweka picha kavaa kanga moja halafu kalowa maji mwili mzima ni kama vile yupo uchi.
3. kuna mwingine kaweka picha maziwa yote nje
4. the list goes on.....
what massage are relly these photo sending out?
if what am thinking is correct then put your contacts too.
jamani mashosti acheni kutudhalilisha wanawake!!!
duh,msamiati mpya.. wowVivy ! Si ujibu basi huto tuswali Mbuzi?
Unajua starehe ya genye ni kugenyeshana , au hamu ni kuhamushana.
Reminds me of a say "Show me your friends and i would tell who you are!"
hebu mjibu BT swali lake kwanza dear vivian..
Asante!
Mie sikubali watu nisiowajua in real life kwenye fb, mostly! Ila hata nnaowajua naangalia na friends wao pia. Kuna watu wana friends wana picha za nyeti kabisaa! Ngoja siku waku-tag Vivian ndo utatia akili.
Siku hizi haiitwi tena Facebook, inautwa Uchibook
...mm sielewi kwa nini ishu za FB kujadiliwa humu JF...i thot kule nao wana kautaratibu kao...
kwenye mada:nilitaka kusema kama Amyner....hahahahahhahhaaaa..nakumbuka mbali nikisema ivyo.