logician mkuu
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 792
- 221
Huyu demu alikua na kazi gani kabla?
'
Anaitwa Mboni Mhita, alikuwa Makamu Mwenyekiti wa UVCCM Taifa.
Huyu demu alikua na kazi gani kabla?
Kwenye mitandao na social media kuna picha zimeenea zinazomwonesha mwanamke huyu kuwa nae kateuliwa kuwa mkuu wa wilaya, kama picha hizi zina ukweli ebu anaemjua mtu huyu atuambie ni nani katika orodha mpya ya wakuu wa wilaya wateule.
View attachment 228558
View attachment 228559
View attachment 228560
View attachment 228561
View attachment 228562
View attachment 228563
View attachment 228564
Dc amavaa vikuku?...
so soon mh atakuwa na ziara mufindi
Akatatuke nyuzi za mshono wa tezi
Mie nimechoka kusikia kwenye habari mkuu wa wilaya sijui kapteni fulani, meja fulani, sijui kanali fulani.
Inaboa huku wilayani kufanya vikao vya ulinzi na kuongozwa na wanajeshi wastaafu.
Sasa tutakuwa tunasikia kwenye habari mkuu wa wilaya ya Tandahimba Miss Heaven on Earth leo aliongoza kikao cha ulinzi na usalama kutokana na tafrani ya maandamano ya Ukawa wilayani hapo.
Acheni Miss independent watese hadi wilayani na siyo Dar tuu kwa waogopa panya road.
Ne-Yo - Miss Independent: http://youtu.be/k6M5C-oKw9k
Hahaaaa nimejikuta nacheka saana....... sipatii picha
nikiwa naongoza hiko kikao cha
Kuna moja niliiyona kavaa vikuku miguu yote miwili, na kawaida ya uvaaji huo wa vikuku inakua imetoka ruhusa ya "twanga kote kote", vipi hawa wakuu wa Wilaya wapya nao wanaruhusu kugongwa 'kaugonjwa pendwa?'
View attachment 229167
Jk anaangalia sifa gani kuwachagua hawa wakuu wa wilaya jamani.
Duh ni kweli hawa wakuu wa wilaya wamejaliwa shepu nzuri sana JK anajua vitu vizuri .Shepu hiyo huioni ndio sifa za jk
Sina tatizo kabisa na madaraka yao waliyopewa lakini katika hili la mavazi ipo haja ya kukemea jambo Nadhani ipo haja ya kuangalia upya utaratibu wa uvaaji wa nguo kwa watumishi wa umma.
Na hapa lengo ni kuwafanya wajue kuwa licha ya utashi wao wa kupenda aina furani ya mavazi basi wajue kwamba wakishachaguliwa kuwatumikia wananchi basi kuna baadhi ya vitu lazima waviache.
Nadhani wakitambua hilo basi watakuwa wanavitendea vyema vyeo na dhamana waliyonayo kwa taifa hili
Hivi vikuku vya miguuni kwakweli sijavipenda.