Nyamesocho
JF-Expert Member
- May 5, 2023
- 476
- 1,244
Kuna baadhi ya viongozi wa mikoa, Wilaya na Halmashauri wameanza kuwaita watumishi wa umma kwenye kumbi za Halmashauri wakiwemo wabunge wanaomaliza muda wao 2025
Taarifa za kutoka Halmashauri mbalimbali kuna taarifa za watumishi wa umma kuitwa kwa ajili ya kupewa maelekezo
Vipi mdau unadhani watakuwa wanaenda kupewa maelekezo gani?
Taarifa za kutoka Halmashauri mbalimbali kuna taarifa za watumishi wa umma kuitwa kwa ajili ya kupewa maelekezo
Vipi mdau unadhani watakuwa wanaenda kupewa maelekezo gani?