Indume Yene
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 2,950
- 711
Baada ya mapinduzi ya kifikra na upatikanaji wa demokrasia ya kweli nchini kwetu, naamini huyu mtoto akifika katika hali ya utu uzima; ata-flash back kwa kuangalia hii picha na kusema lolote.
Je unafikiri atasema nini?
Je unafikiri atasema nini?