PICHA YANGU YA LEO HIYOooooo

Suala la uchinjaji lishaanza kusahaulika ni vema kukemea kwa nguvu zote dhana hii ya kibaguzi inewahi kutughalimu na itaendelea kutughalimu tukiendelea kuikumbatia
 
Mimi ni mkristo ila sijapenda,mambo haya ni hatari kwa ustawi wa Taifa.
Sidhan km nchi zilizoendelea zinabishana nani achinje
 
Hii mbaya! Na daladala zikiwa za wakristo, migahawa ikawa ya wakristo n.k hatutafika
 
ngoja nisepe huku hutakiwi kucomment hii hatari kama ni Tanzania
 
Hii mbaya! Na daladala zikiwa za wakristo, migahawa ikawa ya wakristo n.k hatutafika


Mkuu tembea uone.

Mimi kwa masikio yangu kuna watu kadhaa huja kuniuliza ni wa hotel ya kiislam ilipo niende kula huko?

Mimi huwa nawaelekeza tu kule ambako nadhani kweli ni waslam wanapika humo ndani.

Maswali yananibaki kichwani.
Kwanini wanaulizia dini?
Kwa mantiki hio kusema hakuna vitu vyenye misingi ya kidini nakataa!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…