TUKUTUKU
JF-Expert Member
- Sep 14, 2010
- 11,763
- 4,046
Siku hizi bunge limekuwa chombo cha kihuni,hivyo hakuna cha kujifunza zaidi ya matusi mapya!
Siku hizi bunge limekuwa chombo cha kihuni,hivyo hakuna cha kujifunza zaidi ya matusi mapya!
Serikali lazima ichukue hatua ili kudhibiti mfumuko wa bei,kwani historia inaonyesha serikali nyingi duniani zimeshawai kutimuliwa madarakani kwa kushindwa kudhibiti mfumuko wa bei!
hakika huko ndiko tunakoelekea,lazima tuwe na utaratibu kama wa kichina vinginevyo patakuwa hapakaliki!
Kinachorudisha nyuma maendeleo ya taifa letu ni pamoja na ubinafsi,hawa jamaa wanajiangalia wao wenyewe tu!
Huyu ni kobe,akivua gamba atabaki hai?nazani bado anataka kuendelea kuishi!
Teh teh teh!wajinga ndiyo waliwao!
Angekuwa hai angetusaidia kukemea uovu unaotokea hivi sasa!
Walivyo wajinga, kweli watakwenda !
The answer is very straight forward,funga vilago vyako,huna chako!
Mipango ya mazishi lazima ifanyike haraka sana,maana hapo hakuna uhai tena!
Niemeshajivua gamba,anayetaka nijivue gamba zaidi aje na shoka!
Ubinafsi umetawala hakuna anajali umasikini wa taifa letu!
Jeuri ya serikali hakuna wa kuidhibiti katika mfumo huu tulionao!
A friend in need,is a friend indeed.Urafiki tulionao ni urafiki wa mashaka!
Uandishi wa habari uliopoteza mwelekeo!
Siku zake zinahesabika!
The americans!teh teh teh!kumbe wamarekani nao ni magaidi,kazi kweli kweli!
CCM haina chake kusini!
Teh teh teh!itaanza kutumika 2017!
Bunge limepoteza mwelekeo!