An unidentified man siphons fuel from a tanker as the driver waited for his turn to cross traffic lights in Dar es Salaam yesterday. The practice has been going on for many years in parts of the city, especially the often congested Mandela Highway. (Photo: Khalfan Said)
Mtu asiojulikana akinyonya mafuta kutoka kwenye Tanker ya gari la mafuta huku dereva akisubiri kwa upande wake kuvuka taa za barabarani jijini Dar es Salaam jana. Mazoezi haya ya kuiba mafuta yamekuwa yaki endelea kwa miaka mingi katika sehemu ya mji, hasa mara nyingi msongamano wa Magari ya barabara ya Mandela Highway.
Waziri Mkuu mstaafu, Edward Lowassa, akipeana mkono na Askofu wa Kanisa la Overcomers, Dk. Boaz Sollo (kuhsoto), baada ya Askofu huyo kumkabidhi Lowassa tuzo. Lowassa alihudhuria harambee ya ujenzi wa kanisa hilo na kituo cha redio mkoani Iringa jana. Kulia ni Mkoa wa Iringa, Dk. Christine Ishengoma.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.