Picha yangu ya leo hii


Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP), Dk. Eliezer Beleshi (kulia) akifafanua jambo kwa waandishi wa habari Kunduchi nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam jana baada ya kufungua semina ya wapelelezi, polisi, mahakama na majaji. Kwa mujibu wa Mkurugenzi huyo, mafunzo hayo yalihusu mbinu za kisasa za kukabiliana na uhalifu wa utakatishaji wa fedha, biashara ya madawa ya kulevya, utaifishaji wa mali zilizopatikana kwa njia haramu na masuala ya ughaidi.
 
Mkuu.@kitalol hiyo ni picha inaonyesha Viongozi wa nchi walivyo Mafisadi kwa kutorosha Mali ya nchi na kupeeleka nchi za jirani hiyo ni katuni lakini ni mfano wa picha mkuu.
 
Mkuu.@kitalol hiyo ni picha inaonyesha Viongozi wa nchi walivyo Mafisadi kwa kutorosha Mali ya nchi na kupeeleka nchi za jirani hiyo ni katuni lakini ni mfano wa picha mkuu.


Asante mkubwa nitawasilia na masudi kipanya anijulishe kama huwa anachora picha au katuni tehetehetehe
 


Polisi wa Tanzania kwa kupenda kuuwa! sasa wana wauwa waandishi wa habari kasheshe kweli.....
 

Mmoja wa waombolezaji akisaidiwa na askari wa Jeshi la wananchi Tanzania (JWT, wakati wa kuaga miili ya wanajeshi watatu waliokufa Darfur katika misheni ya Kulinda Amani (PK) chini ya Umoja wa Mataifa Darfur nchini Sedan. Miili hiyo iliagwa katika kambi ya jeshi ya Lugalo jijini Dar es Salaam jana
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…