Ally Kombo
JF-Expert Member
- Nov 11, 2010
- 11,429
- 2,653
Wala msiwatukane hao wanao waomba badala ya Mwenyezi Mungu, wasije na wao wakamtukana Mwenyezi Mungu kwa jeuri bila kujua. Namna hivyo tumewapambia kila umma vitendo vyao. Kisha marejeo yao yatakuwa kwa Mola wao Mlezi, naye atawaambia waliokuwa wakiyatenda. Qur'an:6:108.Mkuu kwa imani ya kikristo poa tu hiyo kupiga busu msalaba, Si unajuwa kila mtu na imani yake. wewe unaona wakristo wanabudu masanamu kwa imani yako ya Kiislam lakini kwa Wakristo ni kitu cha kawaida Mungu ndie muamuzi wa mwisho siku hiyo inakuja acha tu mkuu.
hiyo ndo imani yetu kama imani yako inakukataza basi, acha tuabudu tunachoabudu na tunachoamini.'' Hakika nyinyi mnayaabudu masanamu mkaacha ibada ya Mwenyezi Mungu, na mnatengeneza uongo; bila shaka wale mnaowaabudu mkamuacha Mwenyezi Mungu, wao hawakumiliki riziki; takeni riki kwa Mwenyezi Mungu, na Muabuduni na Mshukuruni. Kwake mtarudishwa. Qur'an: 29:17.
nimeikubali,huyu jamaa wa pembeni ana mamlaka katika nchi hii lakini hachukui hatua.
ipe maelezo yake unaionanje?