Picha yangu ya leo hii


Mgombea ubunge Jimbo la Arumeru Mashariki kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Joshua Nassari (kushoto), akiwa amekibeba kichanga chenye umri wa siku moja, alipotembelea wodi ya wazazi hospitali ya Mkoranga wilayani Arumeru mkoani Arusha jana ikiwa ni mwendelezo wa kampeni zake za kuwania kiti hicho.
 

Mfuasi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) akionyesha alama ya dole gumba inayotumiwa na chama hicho, wakati mgombea ubunge wa chama hicho Jimbo la Arumeru Mashariki, Sioi Sumari, alipokuwa akihutubia mkutano wa kampeni katika kijiji cha Nambala, wilayani Arumeru jana jioni.
 

President Jakaya Kikwete delivers keynote address at a conference on managing elections in Africa, held in Dar es Salaam yesterday. It was organised by Uongozi Institute and attended by delegates from Southern African Development Community (SADC) member countries. (Photo: Tryphone Mweji)
 

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda (kulia), akimkabidhi tuzo ya Ushujaa ya Mfuko wa Bima ya Afya, Joyce Bazira, ambaye alikuwa Mhariri wa gazeti la ALASIRI kwa mchango wake wa kuwa shupavu katika kuhariri habari mbalimbali za jamii zikiwemo za Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya.
 

CUF National Council members welcome the party`s national leaders during an extraordinary meeting in Dar es Salaam yesterday called to discuss issues related to development of the party. The meeting was addressed by CUF chairman Professor Ibrahim Lipumba and secretary general Maalim Seif Shariff Hamad, who is also the First Vice President of Zanzibar. (Photo: Omar Fungo)
 

Baadhi ya wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wakiwa kwenye eneo la mkutano wa kampeni jimboni Arumeru Mashariki huku wakiwa wamebeba bango la picha ya mgombea wao, Joshua Nassari wakati wa kampeni hizo jana.(PICHA: KHALFAN SAID
 
Ni kweli Katuni zinafundisha Vitu vingi siasa ya nchi na hali yenyewe inavyokwenda ndani ya nchi usijali Mkuu hujambo?

sijambo Mkuu wangu.
asante kwa burudani na darasa kwa kupitia katuni..
somo linaingia ............
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…