Picha yangu ya harusi

Bro & sister nini mboni kufafana hivyo?bha!..

Ama Kumbe hapa familia yako Buji yote:

 
Kama wamefunga ndoa hii kanisani, Basi Mungu aonaye sirini na awabariki na kuwajazi!
Tazama, wote wameumbwa kwa sura na mfano wake!
 
Mbona utadhani mtu na dadake...'yaani wamefanana ile mmbaya'!
 
Ama,... Kumbe hapa familia yako yote Buji bana??: Hapa face pasi shaka ulitoka kwa shoe shiner!. Mng'aro wa KIWI!

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…