Super women 2
JF-Expert Member
- Nov 16, 2016
- 5,164
- 6,552
- Thread starter
-
- #41
Sana. Chura +hela [emoji23][emoji23][emoji23]Hahaha, nakumbuka babu yangu aliniambiaga mwanamke mwenye pesa au mkia a.k.a chura sio wa kudharau sababu ana nguvu kubwa, hata kama ni single grandmother.
TrueZari hata kama hangekuwa na hela, yaani masikini kabisa bado ni mzuri sana... unajua mzuri ni mzuri tu hata akiwa fukara utagundua tu huyu ni mzuri, pale pale ananyakuliwa anawekwa pazuri na wenye hela , then ana ng'aaa... kwa hiyo kuwa mzuri kwanza, mifano ipo... Kyln
Wachache. Tuseme diamond nae kwa boss lady nae kafata hela. Wakati anazoMwanamke Ukiwa na pesa kwa vijana wa sasa wanavyo penda kulelewa!!!
Wanaweka kasoro zote pembeni ata kama ulikuwa unapondwa vip,
wanakausemi kao unapiga uku unavuta picha ya flani,chezea pesa wewe
Si kazishika juz tu mwanzo alikuwa na za mboga tuWachache. Tuseme diamond nae kwa boss lady nae kafata hela. Wakati anazo
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Sana. Chura +hela [emoji23][emoji23][emoji23]
ninyi wanawake kwasababu hamjijui maumbile yenu, huwa mnaamini ng'ombe hazeeki maini. kwasababu iyo kitu iko mbali na uso wenu, mkitumanulia sisi ambao ndio tunaiingia chumvini inakuwa karibu na uso, ndio huwa tunawafahamu vizuri. mikunjo kunjo yako wewe kule chini ukiwa mzee si sawa na hao 20s. sema tu kwasababu ya heshima tunawaheshimu mama zetu sitasema sana. ila ng'ombe huwa anazeeka maini. pia, uchi wa mwanamke ni kitu cha heshima sana, ndio maana mwanamke akikaa uchi akaonekana ni aibu kubwa kuliko mwanaume akiwa hivyo. kutoa uchi kwa mtu umri mdogo kwako inataka moyo, ni sawa na kumlaani,nyie ni mama zetu mjue huo uchi wenu huwa tunauheshimu mno na mnatakiwa kuutunza, uchi wa mwanamke unao uwezo kulaani kabisa wakati mwingine hasa kama mwanaume ni umri mdogo.Wewe sijui wa wapi. Ulisikia ng,ombe anazeeka maini nani.
We unazo hizo za mboga. Wamekutana na zari. Dai akiwa na hela. Kama alifata helaSi kazishika juz tu mwanzo alikuwa na za mboga tu
Ha haaaaa huo uandunje inabidi tu uutibu kwa kuvaa high heels [emoji23] [emoji23] [emoji23] maana hakuna namna nyingineKumbe. Za kuongeza urefu zipo. Siutaki uandunje
Kumbe hivi vitu vina nguvu Sana eeee[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Swadakta kabisa, tena hapo neno single mother halitumiki kabisa, utasikia unaitwa majina mazuri kama Super woman, Strong mama, hero, independent woman n.k. asee usifanye mchezo na pesa+ chura.
Bahati yako sijawahi kuuona wa mwanaume mzee [emoji23][emoji23]ninyi wanawake kwasababu hamjijui maumbile yenu, huwa mnaamini ng'ombe hazeeki maini. kwasababu iyo kitu iko mbali na uso wenu, mkitumanulia sisi ambao ndio tunaiingia chumvini inakuwa karibu na uso, ndio huwa tunawafahamu vizuri. mikunjo kunjo yako wewe kule chini ukiwa mzee si sawa na hao 20s. sema tu kwasababu ya heshima tunawaheshimu mama zetu sitasema sana. ila ng'ombe huwa anazeeka maini. pia, uchi wa mwanamke ni kitu cha heshima sana, ndio maana mwanamke akikaa uchi akaonekana ni aibu kubwa kuliko mwanaume akiwa hivyo. kutoa uchi kwa mtu umri mdogo kwako inataka moyo, ni sawa na kumlaani,nyie ni mama zetu mjue huo uchi wenu huwa tunauheshimu mno na mnatakiwa kuutunza, uchi wa mwanamke unao uwezo kulaani kabisa wakati mwingine hasa kama mwanaume ni umri mdogo.
Sasa ninasababu gani ya kuwa mwanaume kama hata hela ya kubadili mboga sina!!!!We unazo hizo za mboga. Wamekutana na zari. Dai akiwa na hela. Kama alifata hela
Alivyozipata si angemwacha
Kabisa bibieKumbe hivi vitu vina nguvu Sana eeee
Opss. [emoji23][emoji23] nilijua inawezekana. Halafu ningeeda kuongeza na Chakula cha mtoto.Ha haaaaa huo uandunje inabidi tu uutibu kwa kuvaa high heels [emoji23] [emoji23] [emoji23] maana hakuna namna nyingine
Wanaume wenyehela zao hata hawajitangazagiSasa ninasababu gani ya kuwa mwanaume kama hata hela ya kubadili mboga sina!!!!
MisambwandaKabisa bibie
Mkuu wanao kula majimamawote wameshapata raana kwaiyoninyi wanawake kwasababu hamjijui maumbile yenu, huwa mnaamini ng'ombe hazeeki maini. kwasababu iyo kitu iko mbali na uso wenu, mkitumanulia sisi ambao ndio tunaiingia chumvini inakuwa karibu na uso, ndio huwa tunawafahamu vizuri. mikunjo kunjo yako wewe kule chini ukiwa mzee si sawa na hao 20s. sema tu kwasababu ya heshima tunawaheshimu mama zetu sitasema sana. ila ng'ombe huwa anazeeka maini. pia, uchi wa mwanamke ni kitu cha heshima sana, ndio maana mwanamke akikaa uchi akaonekana ni aibu kubwa kuliko mwanaume akiwa hivyo. kutoa uchi kwa mtu umri mdogo kwako inataka moyo, ni sawa na kumlaani,nyie ni mama zetu mjue huo uchi wenu huwa tunauheshimu mno na mnatakiwa kuutunza, uchi wa mwanamke unao uwezo kulaani kabisa wakati mwingine hasa kama mwanaume ni umri mdogo.
Pole aiseeeOpss. [emoji23][emoji23] nilijua inawezekana. Halafu ningeeda kuongeza na Chakula cha mtoto.
Nimejitangaza nimejibu swali lako mbona unachanganya madaWanaume wenyehela zao hata hawajitangazagi
Hivi single mother wa hvi mbona huwa hawasemwi?
Ha ha ha ha kabla hujawa na mahela mie ndio ningekufanya uwe single maza basi
Niwe na hela kwanza ndo niwe na single mather