ninyi wanawake kwasababu hamjijui maumbile yenu, huwa mnaamini ng'ombe hazeeki maini. kwasababu iyo kitu iko mbali na uso wenu, mkitumanulia sisi ambao ndio tunaiingia chumvini inakuwa karibu na uso, ndio huwa tunawafahamu vizuri. mikunjo kunjo yako wewe kule chini ukiwa mzee si sawa na hao 20s. sema tu kwasababu ya heshima tunawaheshimu mama zetu sitasema sana. ila ng'ombe huwa anazeeka maini. pia, uchi wa mwanamke ni kitu cha heshima sana, ndio maana mwanamke akikaa uchi akaonekana ni aibu kubwa kuliko mwanaume akiwa hivyo. kutoa uchi kwa mtu umri mdogo kwako inataka moyo, ni sawa na kumlaani,nyie ni mama zetu mjue huo uchi wenu huwa tunauheshimu mno na mnatakiwa kuutunza, uchi wa mwanamke unao uwezo kulaani kabisa wakati mwingine hasa kama mwanaume ni umri mdogo.