Picha ya Siku ya Mrisho Kikwete

Picha ya Siku ya Mrisho Kikwete

Tajiri wa roho jana la baba kuna mijitu inajifanya miungu watu leo hii
 
Ukute ndo wewe mtoa mada ukajipiga picha afu ukaposti huu uzi.,
 
Usishangae ndugu yangu, hao ndio wazalendo wanaoshinda humu wakitetea kila upuuzi unaofanywa na awamu hii...hawajui hata wako wapi, wanafanya nini na wanaelekea wapi, ni vipofu ingawa macho wanayo.
Ccm inawanyima wananchi elimu hata ya kusoma na kuandika!
 
Successfully leading the country or county? Is looting,torturing,embezzlement and causing social strife ( preventing opponents from attending burial funerals) a success? Poor tzs!

Sent from my Mate7 using JamiiForums mobile app
Renowned looters are found in a disintegrated country in the pretext of devolution. You should pity yourself.
 
Kweli nami nlitaka niseme hilo la nyumba kubanana, uzuri wa nyumba space! Ila hilo la gape la mama salma nimecheka saanaa.....ictoshe alimuombea kwa sizonje ili yy abaki free!
mnalalamika utakuta unakaa chumba kimoja kwa mtogole acheni unaa
 
hujapatia kbs, watu tunaishi maeneo ya kuishi co maeneo ya biashara...
tehetehe unajipa moyo tu wengi wa humu jf huwa mnaropoka lakini kiuhalisia maisha ya wengi ni duni keyboard zinatufichia mengi
 
kimtindo kama anasoma post za mange kimambi vile!
 
Back
Top Bottom