alquin maxmillian madoro
JF-Expert Member
- Dec 23, 2016
- 374
- 251
Yan na hilo pozi ,utafikiri yatima
Sikweli hiyo picha yakushtukiza alipigwa bila kujijua. Picha yakupigwa bila kujua huwa inatoka vizuri sana.Kuna kila dalili alishawishiwa aweke hilo pozi
Umri wako.Mimi mkisikia ataka ongeza mke nipoo, Nimejitolea kumliwaza mama akiwa bungeni teh...
Nyumbu hao ndiyo mawazo yaoSasa unahama kiakili unahamia wapiii?
Safi sana kula pensheni yako! Ila huku mtaani watu wanakukumbuka sana wanatamani urejee magogoni
Teh teh teh kweli kabisa mkuuYupo zake JF kama guest user, anawasomeni tu!!
Peponi.Sasa unahama kiakili unahamia wapiii?