Mkomavu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2016
- 12,170
- 17,584
Hahaaaa lile dodger halijui hadi kuandikaJamii folum ndio nini?
Hahaaaa lile dodger halijui hadi kuandikaJamii folum ndio nini?
me deeply in love with him
Atakuwa anavusha ulaya huyo wakati yupo kolomijeSasa unahama kiakili unahamia wapiii?

Mimi sionagi ubaya wa huyu Mheshimiwa,mtu wa watu sana huyu
Long live wakati watu wanataanika kwa sababu yake sasa hivi??Yap
Safi sana.
Hii ni ishara ya hatma njema.
Unafikiri wengine wakistaafu watakuwa kama Mh. JK.
Long live JK.
Sasa wewe na Jk nani wa kuhurumiwa?Maskini ya mungu washkaji washampotezea hapo anaiangalia simu kwa huruma maana haipo busy tena