Picha ya siku... Nini kinaendelea hapa?

Picha ya siku... Nini kinaendelea hapa?

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
371,142
Reaction score
859,435
Maelezo tata
IMG-20180908-WA0002.jpg
 
Itakua anaipekua hiyo simu baada ya kupata taarifa za kiintelijensia kua inatumika kwenye matukio ya uhalifu!
 
Nilichogundua ni askari ana bunduki begani na huyo dada ana bastora kifuani za kuua mapenzi, kwa hiyo bastora ya dada una nguvu kuliko ya askari ndo maana amesarenda hyo askari.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom