Nipe kwanza namba yako ntakupigia baadae uje usikilize kesi yakoOngea na afande

Kwa kumuangalia huyo mdada sidhani aliyesema anatokea Kenya kama yupo sawa. Hao ni Watanzania na wapo maeneo ya makazi ya askari Ukonga trust meMaelezo tataView attachment 860173
Wakenya uniforms zao haziko hivo. Huyo ni FFU wa kwetu.Hawa siyo wakenya kweli