Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,598
Good to see you again Babu DC
Tunashukuru kwa mabusara yako, naona wengi wamemuhukumu my shostito as if they are saints au mavirgin. Lkn wewe na baadhi ya watu wamempa ushauri mzuri.
Hivi Mungu angeexpose yale yote tunayofanyia gizani; tungeweza angaliana usoni tena? Just THINKING kwa SAUTI!
Ahsante sana Kaunga,
Nami pia nimefurahi kukuona tena jamvini...!
Unajua wanaume wengi hawatamani kusikia habari za wanamume wengine wanapokuwa na wapenzi wao... Sasa huyu dada haji na story tu bali hata picha......Mie sijui ningefanyaje ila ni jambo ambalo nisingetamani litokee mbele ya macho yangu!!
Ila kama huyu BF mpya hatajali....basi dada amupe vitu vya nguvu zaidi ili kumwondolea shaka kwamba akili na rasilimali haziko kwa old owner!!
Babu DC!!
Last edited by a moderator: