Eti nasikia ni kwa sababu usiku mimea hu breath in oxygen.Shuleni nilifundishwa usiweke mmea ndani, hasa nyakati za usiku.
Naam! Mnakuwa mnanyang'anyana hewa.Eti nasikia ni kwa sababu usiku mimea hu breath in oxygen.
Hata Mimi nakupenda hivo hivo kaka jambaziFundisho kwa wanawake/mademu.
Usimdharau mwanaume kwa jinsi ulivyomkuta leo kwamba ni masikini.Huwezi jua baadae atakua nani.
Hata Obama na mkewe walianza zamani,kipindi ambacha mkewa hakua na ndoto ya mmewe atakua rais wa dunia.
swadaktaFundisho kwa wanawake/mademu.
Usimdharau mwanaume kwa jinsi ulivyomkuta leo kwamba ni masikini.Huwezi jua baadae atakua nani.
Hata Obama na mkewe walianza zamani,kipindi ambacha mkewa hakua na ndoto ya mmewe atakua rais wa dunia.
Kwani akina nani hawa? JPM na First Lady?
Sasa kuna mjerumani mmoja alikuwa ananibishia hii kitu, jinga kweliNaam! Mnakuwa mnanyang'anyana hewa.
Naam! Mnakuwa mnanyang'anyana hewa.
Hapa walikuwa wameshaachana au bado ?
Mimea ya zamani kitambo ndo ilikuwa hivo. usi kariri.Eti nasikia ni kwa sababu usiku mimea hu breath in oxygen.
mfedhafedha huoNikiangalia hilo ua hapo kwenye picha nadhani ni sansieveria( snake plant).