Kuna mambo nilikuwa nafanya wakati wa ujana yananitesa

Naogopa hata kusema hapa, yananitesa sana
 
Habarini za humu wadau,mimi ni kijana naishi hapa jijini dar,nina kazi na ninaishi katika harakati zangu za kila siku.Sasa kuna mambo ya ujana nilikuwa nafanya sasa hivi yananifikirisha sana,ninawaza sana sina amani nakuwa mnyonge pia
pole sana kijana,
hata hivyo yote yanawezekana kwa kumtegemea Mungu....

Eehee ni mambo yap ya ujana yanayokufikirisha na yanayokupa mawazo kijana?

ni mambo ya kiafya, kiuchumi, kisiasa au kijamii, funguka tyuuu?
 
Ahh, kumbe mwana kisamvu🤒😂😂
 
We Godwin peter huu Uzi unao sema huvutuwi na Wanawake vipi tena??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom