Picha ya Leo

Picha ya Leo

Mikataba waliosaini ya gesi na wachina ina vipengele vya kuwaletea khanga ,fulana na kofia za uchaguzi 2015; ndio maana piga ua gesi lazima itoke Mtwara!!!
 
hapo walikuwa wakiomboleza baada ya mtu mzima kubinuka....
 
Mikataba waliosaini ya gesi na wachina ina vipengele vya kuwaletea khanga ,fulana na kofia za uchaguzi 2015; ndio maana piga ua gesi lazima itoke Mtwara!!!
Lakini wajue hawatakuwa salama labda wayapitishie angani hayo mambomba ya gas...
 
Nimegundua kwamba wengi wetu tumekosa mwelekeo. Gesi inatoka Urusi hadi China inapita nchi kibao kwenda Ulaya hatuongei, tunaongelea kanga na Magwanda.
 
Nimegundua kwamba wengi wetu tumekosa mwelekeo. Gesi inatoka Urusi hadi China inapita nchi kibao kwenda Ulaya hatuongei, tunaongelea kanga na Magwanda.

Inawanufaisha hao warusi na ndio maana hawaichomi moto!!!Kule ambako wananchi hawanufaiki na rasilimali yao kama kule Ogon Nigeria kwa Ken Serowiwa, mabomba ya mafuta yanatiwa kiberiti. Nyie mburula kwanini hamjifunzi kutokana na mabomba ya maji yanayotoka Ruvu kuja Dar yanavyotobolewa huko njiani kwani wananchi wanakosa maji na serikali inaona wao sio watu bali wale wa Dar Es Salaam ndio binadamu zaidi!! Sasa kwa hii gesi serikali inaona hao wakwere 50,000 walioko Bagamoyo ni bora kuliko umati wa wamamchinga wa huko Mtwara!!!
 
big up mkuu Crashwise, future ya kitu chochote inategemea vijana lakini hapa hata hao wazee wanaonekana wamekata tamaa! Bora kujifunza kusema ukweli
 
Kuna mwanaJF alisema hapa anaomba chama la Kijani liendelee kuwepo ili asife njaa, akiona thread anaweza kuzimia.
 
Nimegundua kwamba wengi wetu tumekosa mwelekeo. Gesi inatoka Urusi hadi China inapita nchi kibao kwenda Ulaya hatuongei, tunaongelea kanga na Magwanda.

Umeshasema Urusi, China, na Ulaya hayo hayatuusu tunazungumzia Tanzania yetu.
 
Back
Top Bottom