Picha ya LEO: Ni HATARI Wanafunzi Wanafanya MITIHANI yao KWENYE UWANJA wa MPIRA...

nngu007

JF-Expert Member
Aug 2, 2010
15,862
5,797
MTIHANI.jpg



Kweli TUTAFIKA KWELI? Nchi yetu Ina MALI lakini hatuoni kweli hao VIJANA JUANI? LOWASSA alivyo na MAPESSA huyo ni MMOJA tu NDANI YA CHAMA TAWALA...
 
Labda niwataalamu wa kupiga chabo, kwahiyo mwalim kaamua kuwakomesha..lakini kuna usawa fulani kwani hata yeye mwalim yupo hapo hapo. Ingawa kuna hali ya jua lakini tempereture inaonekana kama 18 degrees celcius..
 
Labda niwataalamu wa kupiga chabo, kwahiyo mwalim kaamua kuwakomesha..lakini kuna usawa fulani kwani hata yeye mwalim yupo hapo hapo. Ingawa kuna hali ya jua lakini tempereture inaonekana kama 18 degrees celcius..

Angalia kiti cha Mwalimu kina kivuli kwahiyo kuna JUA la kumsumbua mtu... wanadamu wa Tanzania sio MAWE
 
Angalia kiti cha Mwalimu kina kivuli kwahiyo kuna JUA la kumsumbua mtu... wanadamu wa Tanzania sio MAWE
mkuu nngu007 madarasani kuna baridi hapo sio dar....but anyway I get your point, in any case, hawapaswi kukaa nje tena kwenye uwanja wa mpira, hiyo sio educational hata kidogo..we need to be serious in serious business like providing proper education..
 
Zaidi ya miaka 50 ya Uhuru, bado tunakaa katika mchanga, wakati umefika tuwapishe wengine
 
Haya yapo, tena hukawii kuona mbunge na naibu waziri wanapita hapo na msafara wa magari kumi kuwasalimia hao watoto

tumekua kama nzi, jacket la silver lakini matak0 na sehemu zote za siri zikining'inia kama mkungu wa ndizi
 
CCM oyeeeeeeeeeeeh.....tumuthubutu.....tumejaribu....tmeweza. Elimu saaaafi, barabara saaaaaafiiiii?...... Mwenge oyeeeeeeeeeeeeh. Sawasawa kabisa...tunaishia hapa kwaleo....tunenda mkoa mwingine wa hapo jirani, kwahiyo ni hayo machache tuu kwaleo CCM hoyeeeeeeeh!;;;;;;;;;;;;;;;;;;;sheeeeeeeeet Country!
 
Read between the lines guys! Hao watoto hawaonekani kama ni wa shule zile zenye shida, ni utaratibu tu. Shule zile zilizo hoi, hazina viwanja vya michezo vyenye magoli ya chuma na walimu wasafi hivyo
 
We umenena, pia inawezekana wanajifunza kwa vitendo. Muonekano wa watoto na walimu hauonyeshi kama shule ni chokambaya
 
We umenena, pia inawezekana wanajifunza kwa vitendo. Muonekano wa watoto na walimu hauonyeshi kama shule ni chokambaya

Mkuu kweli ? kwa mkao huo watoto wanjifunza kwa vitendo? hapana hapo kutakuwa na shida kubwa sana iwapo ndo maamuzi ya Waalimu.Je unajua hata ukaaji tu wa mtoto Darasani una athari kwa uwezo wake wa uelewa,umakini na Utulivu
 
Tazama hiyo picha vizuri. Kwa mandhari iliyopo co ya kukosa madawati.

Hayo madhali sio yao, hii ni shule ya msingi Inyala-Ikuti jijini Mbeya ipo karibu sana na Chuo kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya, huo uwanja ni wa chuo na kila kitu kwa hiyo huyo mwalimu alijiazima tu maana ni majirani sana.
NB/: Nimeangalia mazingira ya uwanja ulivyo, hilo tanki la maji, nguzo za umeme, msitu na hizo nyumba ndio nikaja na mawazo haya maana haya mazingira ninayafahamu sana vinginevyo naweza kukosolewa tu.
 
Read between the lines guys! Hao watoto hawaonekani kama ni wa shule zile zenye shida, ni utaratibu tu. Shule zile zilizo hoi, hazina viwanja vya michezo vyenye magoli ya chuma na walimu wasafi hivyo

Ni utaratibu tu? wa kufanya mtihani uwanjani? You are kidding me! Shule zipi unazodhani ziko vizuri Tz?
Zunguka shule za Dar (kama uko Dar) kisha uje utuambie hali ikoje.

Kidumu chama cha mapinduzi
 
CCM oyeeeeeeeeeeeh.....tumuthubutu.....tumejaribu....tmeweza. Elimu saaaafi, barabara saaaaaafiiiii?...... Mwenge oyeeeeeeeeeeeeh. Sawasawa kabisa...tunaishia hapa kwaleo....tunenda mkoa mwingine wa hapo jirani, kwahiyo ni hayo machache tuu kwaleo CCM hoyeeeeeeeh!;;;;;;;;;;;;;;;;;;;sheeeeeeeeet Country!

hali zaidi,kasi zaidid ,nguvu zaidi mhhh
 
Back
Top Bottom